Beki 3 Noma

Beki 3 Noma

kidaganda

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2013
Posts
2,995
Reaction score
2,572
DADA WA KAZI ANATAKA KUONGEZEWA MSHAHARA

House girl alitaka kuongezewa mshahara, lakini mama mwenye nyumba akataka apewa sababu 3 za house girl kutaka kuongezewa mshahara:

DADA: Ninaweza kupika zaid yako.

MAMA: nani kakwambia?

DADA: kaniambia mume wako.

MAMA: sababu ya pili?

DADA: Ninapiga pasi nguo zinanyooka vizuri kuliko wewe.

MAMA: Nani kakwambia?

DADA: Mume wako.

MAMA: Sababu ya tatu?

DADA: Nakuzidi kwa utundu kitandani.

MAMA (akiwa na jazba la kumpasua): Niambie mume wangu ndo kakwambia au?

DADA: Hapana, ni dereva wako ndo aliniambia nimekuzidi kwa utundu kitandani.

MAMA: ooooh punguza sauti mwanangu nakuongezea mshahara wako tena mara mbili.

Kumbe mama naeeee jipuuuuuuuu hahahahaaaa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
DADA WA KAZI ANATAKA KUONGEZEWA MSHAHARA

House girl alitaka kuongezewa mshahara, lakini mama mwenye nyumba akataka apewa sababu 3 za house girl kutaka kuongezewa mshahara:

DADA: Ninaweza kupika zaid yako.

MAMA: nani kakwambia?

DADA: kaniambia mume wako.

MAMA: sababu ya pili?

DADA: Ninapiga pasi nguo zinanyooka vizuri kuliko wewe.

MAMA: Nani kakwambia?

DADA: Mume wako.

MAMA: Sababu ya tatu?

DADA: Nakuzidi kwa utundu kitandani.

MAMA (akiwa na jazba la kumpasua): Niambie mume wangu ndo kakwambia au?

DADA: Hapana, ni dereva wako ndo aliniambia nimekuzidi kwa utundu kitandani.

MAMA: ooooh punguza sauti mwanangu nakuongezea mshahara wako tena mara mbili.

Kumbe mama naeeee jipuuuuuuuu hahahahaaaa
Duh! mama lazma awe mpole
 
Back
Top Bottom