Mkuu,Katika hao wakorofi usimsahau Salum Kabunda 'Ninja', Said Mwamba Kizota, Bakari Malima
Mkuu,
Said Mwamba "Kizota" alikuwa mshambuliaji, siyo beki kama mada inavyosema!
Mkuu,
Said Mwamba "Kizota" alikuwa mshambuliaji, siyo beki kama mada inavyosema!
Nilijua tu kutatokea raia kama wewe...
Marehemu Kizota kabla ya kuwa mshambuliaji hatari alikuwa akicheza centre half (beki wa kati)...
Nadhani sasa utajua kwa nini nimeliandika jinale....
Nikiangalia soka la zamani hapa tz ni kweli kulikuwa na mabeki wengi na wazuli kama kina..
Jella mtangwa, mohammed bakari tall, allan shomali, lila shomari,kasimu matitu, n.k. Ila sitomsahau jella mtagwa aliyechezea pan africa na taifa stars miaka ile nakumbuka picha yake iliwahi kuwekwa katika stamp ya posta. Mimi naamini jella mtagwa ndio beki bora kuwahi kutokea mpaka sasa... Je na nyie mnaonaje tujikumbushe kidogo
Mkuu,
Said Mwamba "Kizota" alikuwa mshambuliaji, siyo beki kama mada inavyosema!
Muhidini Cheupe Yanga & A. F. C
Kimune Mwita Simba& AFC
Twaha Hamid Simba
Kasongo Athumani Simba
Kenneth Mkapa Yanga
Sijui kuhusu Ubora kuliko wote.., lakini katika uniqueness, Beki Mstaarabu Ayubu Mzee..., jamaa alikuwa hachafuki anatoka uwanjani jezi bado safi kama ndio anaingia....
Ila katika Mabeki duniani kote ambaye nina uhakika angefika mbali na alikuwa na akili sana na Ball Control na kujiamini ni Marehemu Eston Mulenga..., huyu jamaa alikufa na ile ndege iliyowauwa Zambia.., jamaa alikuwa hana papara striker ukija anakunyanganya mpira unapigwa chenga alafu anaanzisha move.... Simply Brilliant...
Asante kwa kunikumbusha kaka..., long time.., unajua tenaMkuu, beki mstaarabu alikuwa Samli Ayoub sio Ayoub Mzee.