Beki wa Manchester City anaendelea kusota jela

Kapata bahati sana uengereza wanafunga nusu, yaani kama umefanya kosa la miaka miwili unafungwa gerezani mwaka mmoja , mwaka uliobaki wanakutoa nje wanaweza wakakupiga tag kila unapoenda wanakujua umeenda wapi, na kakakupa 12 hours za day time tu kukaa nje hour zilizobaki lazima uwemo ndani
 
Kama hajafikia umri wa consent inamaanisha amebakwa maana Hajafikisha umri sahihi wa kufanya maamuzi....wewe ukikutwa Na katoto ka miaka3 hatakama kanafuraia mic unakabaka.
Kwahyo mohamad alivyokachumbia katoto ka miaka 6 ingekua sasa angekula miaka 30 na viboko hamsin kila siku asubuhi na jioni?
 
Mods mko wapi huyu jamaa kaweka site ya phishing password za watu. Ameweka Phishing Ya Facebook password.
 
Ila jamaa kamfokoa kisawasawa huyo demu daah alifaidi hasa
 

Duh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…