Beki wa SC Villa ya Uganda atua kwa mabingwa wa nchi Yanga

Soloma TV Online

Senior Member
Joined
Jun 26, 2023
Posts
104
Reaction score
291
Beki Kisiki Gift Fred kutoka Villa ya Uganda atua kwa Mabingwa wa nchi na wenye Historia yao Yanga. Hii inawafanya wazidi kuujenga ukuta wa Berlin wakati majirani wao wakiujenga ule wa Jeriko.

Ligi Kuu ya NBC msimu ujao inakwenda kunoga sana hebu fikiria kwa kina hapa YANGA kule AZAM na pembeni SIMBA unafikiri nani atakuwa mwiba mchungu?
 
Karibu Bw. Zawadi Fred, karibu Tanzania
 
Lipia tangazo la online tv yako
 
Itakuwa jambo la heri kama Doumbia atapewa mkono wa kwa heri. Maana ni ukweli ulio wazi, anakabia macho na hana kasi.
 
Your browser is not able to display this video.

Tumemuona..ni huyo anayepiga header golini kwake..kazi kweli kweli
 
Wazee wa mizoga wameokota zoga lingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…