Believe it or not men are every where!


unadhani ulichokiandika kinaendana na hii joke ya Asha?boy,be wise for the heavenly sake...:nono:
 

mkuu umeenda mbali zaidi na haipendezi,ukiona huna cha kuandika si lazma unadhalilisha jinsia kwa kufananisha na nyumbu! Too low. BTW Asha asante kwa huu utani mzuri,tunawathamini sana bila nyie.......
 

Senseless, scoundril get back to ur hell. Yaani umesoma tangu chekechea hadi hapo ulipofikia, ukaongezea na elimu ya ziada (mtaani, dini, wazazi) ukapata certificates zakuandika maumbuzi kama haya khaaaa! Rat in the kitchen.
 
Bacha; Asha ngedere tumecheza wote, hivyo ile attitude ni mtaa mmoja.
 
Samahani sana kwa wale wote nilio wakwaza kwa reply yangu.Sijui ni kwa nini ila sikuupenda mwenendo na mwelekeo wa hii thread kwa upande wa wanaume.But whatever it is,mimi ndo nina makosa,that is why nakuombeni msamaha nyote and i hope you will forgive me and forget about my harassing reply.Thanks in advance to whoever will forgive me and maximum respect to you LADIES!
 
Jaguarpaw THANK YOU for your apology. That was big of you, and ckumanisha vibaya it was just for fun.
 
Yah its true. nilikuwa sijanote hiki kitu
 
Wanajifanya wajanja kumbe wako ndani yetu lol
 
Asha binya reply with quote ukiwa unamjibu mtu umeelewa??

Gaga asante mwaya,,, still getting the hang of things. Sehem nyingi nazinguka kichizi. Thank you
 

nenda mwananyamala hosptl utapata takwimu kama sampo yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…