Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
Apo chacha!!
Belle 9 amesema hafikirii kabisa kufanya muziki wa Singeli.
Muimbaji huyo wa R&B amesema huo ni muziki wa kupita
na katu hauwezi kudumu.
Alitoa kauli hiyo baada ya kuulizwa swali na mtangazaji wa
kipindi cha Supa Mega cha Kings FM, Prince Ramalove
iwapo atafanya muziki huo mashabiki wakimtaka.
“Sitegemei,” alisema Belle.
“Hata kama nitafanya, sitofanya kama release song sababu
Singeli ni muziki fulani hivi ambao unapita, ni bubble gum
music. Sasa hivi watu wanaushabikia lakini itafika time
utapita, sio muziki wa kustick.”
Belle 9 amesema hafikirii kabisa kufanya muziki wa Singeli.
Muimbaji huyo wa R&B amesema huo ni muziki wa kupita
na katu hauwezi kudumu.
Alitoa kauli hiyo baada ya kuulizwa swali na mtangazaji wa
kipindi cha Supa Mega cha Kings FM, Prince Ramalove
iwapo atafanya muziki huo mashabiki wakimtaka.
“Sitegemei,” alisema Belle.
“Hata kama nitafanya, sitofanya kama release song sababu
Singeli ni muziki fulani hivi ambao unapita, ni bubble gum
music. Sasa hivi watu wanaushabikia lakini itafika time
utapita, sio muziki wa kustick.”