Bellon D'Or nani kushinda?

ndetichia

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2011
Posts
27,767
Reaction score
6,575
Leo ni Leo kati ya
messi
c ronaldo
xavi
 
kama upo tanzania na una dstv cheki SS3
 
ronaldo anasoma nani mshindi..
 
Coach of the yr ni Coach wa BARCA.... Messi kawabwaga Ronaldo na xavi
 
tatizo anaongea kiajentina..
 
guardiola kocha bora
timu bora barca kazi wanayo..
 
ronaldo anasoma nani mshindi..

Ni Ballon si Bellon.

Afu huyo Ronaldo gani aliesoma? Maana CR anajiandaa na game dhidi ya Malaga. Hivyo hakuhudhuria.

Labda kama unamaanisha El Phenomena.
 
Nessi kabebwa tena.
Puskas award imeenda kwa nani?
 
tatizo anaongea kiajentina..

haa haa haa umeona kamanda ...hawajasoma ni vilaza kwa kuwa hawajui kingereza kama wakenya na waganda ama watoto wa engilishi midiamu skuli aka academic (st.).....haaa haaa haaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…