siyo kwaya hiyoo mkuu!bila shaka messi zaidi ya maradonaJuma Kaseja bila shaka
ronaldo anasoma nani mshindi..
Juma Kaseja bila shaka
Mchezaji Bora wa Dunia kwa mwaka 2011 ni Leo Messi
Ni Ballon si Bellon.
Afu huyo Ronaldo gani aliesoma? Maana CR anajiandaa na game dhidi ya Malaga. Hivyo hakuhudhuria.
Labda kama unamaanisha El Phenomena.
tatizo anaongea kiajentina..
Nessi kabebwa tena.
Puskas award imeenda kwa nani?