johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Naibu Katibu mkuu wa CHADEMA mh Benson Kigaila amesema amekabidhi barua ya kuwavua uanachama Halima Mdee na wenzake kwa Spika wa Bunge leo saa 2:42 asubuhi
Barua amekabidhiwa Katibu muhtasi wa Spika kea dispatch
Source: ITV
Barua amekabidhiwa Katibu muhtasi wa Spika kea dispatch
Source: ITV