Ben Kinyaiya na MREMBO 'EMOLO"

Ben Kinyaiya na MREMBO 'EMOLO"

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2009
Posts
5,471
Reaction score
752
Duh aisee nimemzimia huyu "emolo" ana figa balaa...

attachment.php
 

Attachments

  • Diomancy_ 312.jpg
    Diomancy_ 312.jpg
    85.2 KB · Views: 776
Huyo jamaa kulia ametoka kusukuma mkokoteni au? Cheki mijasho hiyo ..yikes..
 
Duh aisee nimemzimia huyu "emolo" ana figa balaa...

attachment.php

Mfuku we kiboka, huyu mshkaji katoka kumkamua huyu emolo nini mbona kijasho kibao na maeneo ya wapi haya mbona panaonekana sipo kivile.Lete nyingine mkulu.
 
Mfuku we kiboka, huyu mshkaji katoka kumkamua huyu emolo nini mbona kijasho kibao na maeneo ya wapi haya mbona panaonekana sipo kivile.Lete nyingine mkulu.
mango garden kaunta ya shoto karibu na toilet:yuck:
 
majasho juu ya mabega!? hii ndo naiona leo
 
Mfuku we kiboka, huyu mshkaji katoka kumkamua huyu emolo nini mbona kijasho kibao na maeneo ya wapi haya mbona panaonekana sipo kivile.Lete nyingine mkulu.
teh teh teh kaaaaaaaaaaaazi
 
Duh aisee nimemzimia huyu "emolo" ana figa balaa...

attachment.php

Huyo mrembo mbona kama anatuliza maumivu huko kunako? Au ndiyo moto wa mapenzi unawaka ndani? Naona kama anataka kupitisha vidole kunako hivi! Au macho yangu yanaona kengeza?

 
Hahahahahaaaaaaaaa maane hata mimi nilikuwa nadoubt jinsi huyu emolo anavyo jaribu kupoza mashine na huo mkono, possibly inauma na huyu msela na mijasho hii kama hajatoka kumkamua bahati. Ila sehemu zetu za starehe nazo? daa hapa si full TB na magonjwa mengine?
 
Ben kaondoa kipini ameleta show ya mwanaume sasa angalau
 
Nimecheka sana jamani eti mara oooh emolo anapoza mchine, mara jamaa katoka "kazini" wabongoo bwana...
 
Back
Top Bottom