Lisemwalo lipo kama halipo laja
as a celebrity kujiweka msafi ni haki lakini kujiongezea mapambo mikogo na madoido ikiwemo kutumia make ups za wanawake kunaacha maswali mengi na kupunguza urijali wako kama mwanaume
dressing table inapofananaa na ya wanawake unataka tukueleweje, mdogo mdogo ben usije rusha ngumi siku moja
acheni kufatilia life styl za watu........kwani kuna kifungu kwenye vitabu vya dini kinacholimiti wanaume kujiremba?
Whaat?acheni kufatilia life styl za watu........kwani kuna kifungu kwenye vitabu vya dini kinacholimiti wanaume kujiremba?
acheni kufatilia life styl za watu........kwani kuna kifungu kwenye vitabu vya dini kinacholimiti wanaume kujiremba?
Jamaa tayari ni hb sasa sijui anaongeza vikolombwezo vya nini........
We muache amuudhi mwenyezi Mungu siku moja ataamka asubuhi...ataenda kwenye dessing table akute amegeuka pacha wa Mpoki.