Kwa hiyo unataka ulipwe?Itaendelea.......
Jibu swali weye karani wa sensa!Acha mambo yako!😂😂😂Unamjua?
Hiyo Shule sio mwisenge kweli [emoji23]Nasikitika sana shule niliyosoma kuna mjinga mmoja alishika nchi.Mbona watu waliuona moto.Siku hizi nikiulizwa shule nilizosoma siitaji hiyo kwa sababu ya pambaff mmoja.
Fala kama yule hakusoma Mwisenge wala Nyasho.Alitokea maporini wapiwapi sijui!Hiyo Shule sio mwisenge kweli [emoji23]
Ukimuita mjomba wako ni shangazi haibadili jinsi yake.Ataendelea kuwa mjomba tu na weye kwenye hicho kichwa/boga utaendelea kudhania amekuwa shangazi.Namibia unafanya uyaya?Kumbe hapa keetmanshop namibia kuna sensa sikujua. Wiki ijayo ntakuwa windhoek njoo unihesabu shangazi.
Tufanze kazi....nasema hiiiiiiiNasikitika sana shule niliyosoma kuna mjinga mmoja alishika nchi.Mbona watu waliuona moto.Siku hizi nikiulizwa shule nilizosoma siitaji hiyo kwa sababu ya pambaff mmoja.
Umeshaishiwa hoja?Itaendelea.......
Hata wewe umeshindwa kulisimulia, safi sana.Kuna mwamba mmoja alisoma mkwawa sec enzi hizo alikuwa kipanga balaa.
Nini kilitokea
Rekodi yake ni unwritten kwasababu miaka hiyo kitabu cha Abot na nadhani mpaka sasa kilikuwa kinatolewa kwà matoleo (editions) sasa huyu mwamba alifanya jambo kubwa mno ila halijasimuliwa popote.
hapana..Unamjua?