Ben Malango: Straika lililohitajika Yanga lauzwa Uarabuni kwa bilioni 8

Ben Malango: Straika lililohitajika Yanga lauzwa Uarabuni kwa bilioni 8

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Ni mtambo wa magoli uitwao Ben Malango uliosemekana umeshashushwa na GSM umesajiliwa kwa bilioni 8 huko kwenye hela za mafuta yaaani ilibaki kidoooogoooooo tu atue utopolo kutoka Raja casablanca.

malango.PNG
 
Ndio maana nasema hujitambui. Hiyo nayo NI source ya kupost jamiiforum?
Mkiambiwa habari za kina kambole na huyo wa al masry mliyedanganywa yuko kwenye ndege tangu tarehe 23 mnacheza vigodoro kwa furaha, jingaz
 
Mikia mlienda kwa shaban djuma bei yake ,leo hii kasaini Yanga,nyie subirini wachezaji wa free agent

View attachment 1870702
hahahahahahaha aiseeeeeee kambole anatua lini naskia dollar 10,000 kwa mwezi ilikuwa shida kwa hiyo Gsm katoa 1.2 billions iyo kwa djuma shaban kisa kaandika snitch wenu anyeshindaga ofsini kwa injinia akiuza siri za simba?
 
Back
Top Bottom