CHIZI VITABU
JF-Expert Member
- Jun 12, 2021
- 1,061
- 2,477
HawakomiUto mtadanganywa mpaka lini
Hao size yao ni mzee Mpili mengine hawayaweziwataishia kuchukua wachezaji wasio na mkataba As Vita
Mkiambiwa habari za kina kambole na huyo wa al masry mliyedanganywa yuko kwenye ndege tangu tarehe 23 mnacheza vigodoro kwa furaha, jingazNdio maana nasema hujitambui. Hiyo nayo NI source ya kupost jamiiforum?
Mikia mlienda kwa shaban djuma bei yake ,leo hii kasaini Yanga,nyie subirini wachezaji wa free agentUto mtadanganywa mpaka lini
Muulize manara kama juma alikua hana mkataba na as vitawataishia kuchukua wachezaji wasio na mkataba As Vita
hahahahahahaha aiseeeeeee kambole anatua lini naskia dollar 10,000 kwa mwezi ilikuwa shida kwa hiyo Gsm katoa 1.2 billions iyo kwa djuma shaban kisa kaandika snitch wenu anyeshindaga ofsini kwa injinia akiuza siri za simba?Mikia mlienda kwa shaban djuma bei yake ,leo hii kasaini Yanga,nyie subirini wachezaji wa free agent
View attachment 1870702
manara anajua mengi ya gsm? hamtapata tena siri za kambi mchukueni kabisa huko utopoloni akawahamasishe kujaa uwanjani
Msomali anawageuza geuza kama chapati vileHawakomi
Nani unasema, Fistula?Mbona wanao mtambo wa magoli unaitwa Fiston wanataka mwingine wa nini?