LIKUD
JF-Expert Member
- Dec 26, 2012
- 18,037
- 33,681
Lile sakata kati Jide VS Clouds limefikia sehemu mbaya. Picha lilianza hivi, siku mbili zilizopita Mwaanadada Jide aliwteet kupitia akiwalaumu Clouds Fm kwa kumuhujumu kimuziki ( kutoufanyia promo wimbo wake mpya wa JotoHasira ). Picha halikuishia hapo, leo tena, Jide akaretweet akiwashambulia Clouds, THT na wasanii Ben Paul na Linah wanao lelewa na THT.
Jide aliwatuhumu Ben Paul na Linah kwa kutotokea kwenye show ambayo inadawa ama ilidhaniwa kuandaliwa na Jide, ambayo ilifanyika siku ya Valentines Day mapema mwaka huu. Jide amedai Ben Paul na Linah waligoma kutokea kwenye show hiyo kwa sababu walikatazwa na Uongozi wa THT.
( Ruge ? ..U Decide!) . Responding to these allegations Msanii Ben Paul ali retweet akimjibu Jide ambapo pamoja na mambo mengine, alisema " Ukiwaza kutumia akili kamwe huwezi kukosea, ila utakapotumia hisia lazima ujikanyage somewhere. Nimekua vya kutosha #Trustme "
Picha kamili linapatikana hapa:CloudsFM saga: Jaydee awashukia Ben Pol na Linah, Ben Pol ajibu « Maraha
MAONI YANGU : BEN PAUL HAKUPASWA KUTUMIA LUGHA KALI KAMA HIYO.
Jide aliwatuhumu Ben Paul na Linah kwa kutotokea kwenye show ambayo inadawa ama ilidhaniwa kuandaliwa na Jide, ambayo ilifanyika siku ya Valentines Day mapema mwaka huu. Jide amedai Ben Paul na Linah waligoma kutokea kwenye show hiyo kwa sababu walikatazwa na Uongozi wa THT.
( Ruge ? ..U Decide!) . Responding to these allegations Msanii Ben Paul ali retweet akimjibu Jide ambapo pamoja na mambo mengine, alisema " Ukiwaza kutumia akili kamwe huwezi kukosea, ila utakapotumia hisia lazima ujikanyage somewhere. Nimekua vya kutosha #Trustme "
Picha kamili linapatikana hapa:CloudsFM saga: Jaydee awashukia Ben Pol na Linah, Ben Pol ajibu « Maraha
MAONI YANGU : BEN PAUL HAKUPASWA KUTUMIA LUGHA KALI KAMA HIYO.