Gang Chomba
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 20,649
- 4,786
Ckuwahi kuichukia clouds kama navyofanya sasa...
Sugu alikwisha potezwa kitambo. I dont think kama still kuna wana watu bado wanasikiliza nyimbo za Sugu. Ashukuru tu Mungu amepata Ubunge, vinginevyo ingekuwa ni OSH KOSH B'GOSH!
Sugu alikwisha potezwa kitambo. I dont think kama still kuna wana watu bado wanasikiliza nyimbo za Sugu. Ashukuru tu Mungu amepata Ubunge, vinginevyo ingekuwa ni OSH KOSH B'GOSH!
Pole sana.
unatumia kichwa kubebea masikio...
Think big
vipi hemed anamsapot nani?Ben pol aache kujiingiza katika hili beef!!!inabidi aelewe ruge alikuwa akijipigia jide wayback kabla gadna hajanuoa baadaye ruge akawa anajipigia linnah ambaye ndo demu anapewa air time ya kutosha ili azibe umalkia wa jidde!gadna pia kipindi yupo na jide na kipindi ruge anamla linnah naye akajipigia linnah....ukiangalia kwa undani hili beef ni mapenzi so dogo kama ben paul anayetegemea mziki kulipa ada ya chuo ni vyema akapoteza kwani inabidi aelewe!game kalikuta na ataliacha!
Acha ushabiki wewe, mimi nazungumzia reality..Do a litle research brother na utakubaliana na mimi. Watafute vijana kumi wa kuanzia miaka 15 hadi 25 ( ambao ndio wasikilizaji wengi wa muziki wa bongo fleva/hiphop? ) waulize wakutajie nyimbo tatu za Sugu. I bet, ten of them will fail...Sugu hana audience , thats the fact brother ( My opinion has nothing to do with his " Chademaship", so simzungumzii Sugu kama mbunge wa Mbeya kwa tiketi ya Chadema kama unavyo dhani wewe, but namzungumzia Sugu kama msanii wa hiphop.
mkuu likud,reality unayoizungumzia wewe sio kweli,unaposema tuchukue vijana kuanzia miaka 15-25 wanaosikiza mziki.sugu ninayemjua mimi alianza mziki wa hip hop muda mrefu kiasi kwamba hata kijana wa miaka 15 hawezi kufahamu hata chembe ya harakati za sugu.Soma kitabu cha historia ya maisha yake kinachoitwa 'from the street to the parliament' ndio uone harakati zake za muziki na maisha.Sugu ataendelea kuwa legendary na pioneer wa HIP HOP tanzania.
We dont need to talk about it kaka...Sugu hana audience hapa bongo, labda jimboni kwake
kwa hiyo unataka kusema huyu jamaa akiandaa show ya peke yake hapa daslam mjini ataimbia viti vitupu?......masaburi[/QUO
usiulize babu pigia mstari...( By Rado )..Masaburi ndo yanayo kufanya ukae kwenye kompyuta na kuaccess jamii forum
zungumza v2 vyenye maana, kusema sugu hana audience utachekwa sana, muulze ruge ndo anamjua cku ile yeye kijitnyama na fiesta yake sugu na vinega social scienceWe dont need to talk about it kaka...Sugu hana audience hapa bongo, labda jimboni kwake
then mimi na wewe hatuwezi kubishana, Kama Naught by Nature , Coolio ,Juma Nature, na wengine wanafanya show bila kuwa na airplay then wewe utakuwa na tatizo binafsi na SUGU..Mimi binafsi naamini Mr 2 a.k.a sugu anaweza kufanya show na ikajaza watu bila ya kuwa na nyimbo kwenye radioni, kama Dani Msimamo anafanya show leo na watu wanaingia itakuwa Mr. 2.. .kwa hiyo unataka kusema huyu jamaa akiandaa show ya peke yake hapa daslam mjini ataimbia viti vitupu?......masaburi[/QUO
usiulize babu pigia mstari...( By Rado )..Masaburi ndo yanayo kufanya ukae kwenye kompyuta na kuaccess jamii forum
Sugu alikwisha potezwa kitambo. I dont think kama still kuna wana watu bado wanasikiliza nyimbo za Sugu. Ashukuru tu Mungu amepata Ubunge, vinginevyo ingekuwa ni OSH KOSH B'GOSH!
We dont need to talk about it kaka...Sugu hana audience hapa bongo, labda jimboni kwake