Wasisingizie team, wajipe upya kuhusu management zao, Jux mwenzao naona kaamka hiv karbun tutaanza kumuona kwenye international Awards,
Belle9 ajipe upya hasa campan inayomzunguka muda wote anashinda na wasanii wa hip pop wakina stamina nyandu toz young killer sijui watamfikisha wapi. Campan yake ilitakiwa wawe wakina Mondy, kiba, Navy kenzo, vanesa mdee ili wampe maujanja ya kutoboa kimataifa.
Kuhusu Ben pol at least ameanza kupaa maana hata kwenye coke studio mwaka huu kaingia hope ataitumia hiyo exposure vizuri, mfano ule wimbo wa Sophia alitakiwa afanye remix hata na msanii yeyote mkali wa nje ya nchi angeweza kufika mahali pazuri.
Siri ya mafanikio ni kujifunza kutoka kwa waliofanikiwa, wasilalamikie team kwani hata hao wakna Kiba na Mondy hizo team walizipata baada ya kuonyesha juhud hivyo hata hao wakina Belle n Ben paul wanao uwezo wa kuunda team endapo watabadilika.