The Mastermind
Senior Member
- Dec 3, 2012
- 107
- 50
ndo kina nani hao?
BELLE 9 NOMA WEWE...
HUKUNA WA KUFANANA NAE KATIKIA BONGO RnB hapa TANZANIA. Sauti ya Belle9 inatokea tumboni sio puani. Itamchukua miaka mingi sana Ben Paul kuwa kama belle9.
Mimi ni mwanamuziki na ninajua muziki.