Ben Pol: Hali ya uchumi imekuwa mbaya sana, hatupati show, mapromota wamekimbia

halafi kwenye uchaguzi wa 2020 mmuendelee kupigia kampeni ccm
 
hahaaaaa watu mna maneno,utasema mliyatunza mkisubiri siku kama ya leo au tukio kama hili
 
Katika Makampen Wao Ndio Wakwanza Kuimba Na kusifu Hili Lichama

Shez Hawa
 
shoo za nini tena? si walilipwa wakati wa kampeni hawa watulie dawa iwaingie hahaaa
 
Kwani zile sare zenu za kijani mmegawa? Jikusanyeni tena mpige tour nchi nzima kwa hisani ya wazee wa lumumba mtapiga noti ndefu mbona
 
We dont drink POISON[emoji443] We dont HANG ourself[emoji445] CCM front to front [emoji445][emoji443][emoji443].......[emoji441][emoji441]
 
Anko trump amesema hata buku hatatoa kwa ngozi jeusi...wataanza kupiga show kwenye vibanda vya gongo
 
tour gani anayotaka kufanya wakati juzi tu ametoka fiesta huko huko? hao watu si watamkinai
 
Mbona Jide komando anazunguka tu Tz na show zake na anapiga mijihela ? Hao mapromota wanaomuandalia show Jide ni wa wapi ?


Lakini ki ukweli naona ukimwondoa Diamond , mwanamziki anayeweza kwenda kufanya show peke yake sehem yoyote Tz na akajaza watu ni Jide ....nipo tayari kukosolewa
 
Waanze kufanya show za international kama Diamond Platnumz.

Tatizo wasanii wa bongo hawaigi mazuri ya diamond, wanachofanya ni kumdiss tu kila siku.
Kwahiyo unakubali hali ya uchumi ni mbaya na Hilo li avatar lako la mla rambirambi?
 
Wasubiri uchaguzi ambapo CCM
itawatumia tena kama condom
 
Na bado, huo ni mwanzo tu, makubwa zaidi yanakuja.
Hata Diamond nimemsikia mara kadhaa akilalamika kuwa hali ni mbaya kwake huku akitishia kuikacha CCM. Anatoa sababu hizi
1/Kodi inamuumiza sana, TRA wameamua kula sahani moja na yeye.
2/Makampuni ya kumpa matangazo mapya hayapo tena.
3/Mikataba ya Matangazo na makampuni imekuwa ikimbana sana.
 
Tangia lini wasanii wetu wakawa na maisha mazuri wasanii wa bongo wenye maisha mazr ni wale wenye mishe zingine nje ya sanaa yy mwenyewe hela za usanii kaanza kuzipata juzi tu leo analalamika kilichopo ajipange upya tu
 
muongezee na christian bella
 
Show Hakuna Mbona alizunguka Mikoa yote kufanya show ya fiesta?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…