Naona alikuwa anatafta kiki, kiukweli namkubali lakini kwa alichokifanya kachemsha, haya bado nyimbo yenyewe mbovu, sijui hata alikuwa anaangaika nini wakati nyimbo yake ya phone bado ilikuwa inafanya vizuri.halafu hata haihusiani na madai yke ya kwamba anatoa wimbo unaohusu kutekwa alikuwa anajaribu kujtetea tu
Kwahiyo kutekwa ndo anawageuzia mashabiki wake makalio hapa no bongo kuna mila zake unataka uishi bongo kama state ndo unaishiwa paka mafuta watu wale mfukoBen Pol aliporelease picha zile watu mapovu yaliwatoka sana. Hawakutaka hata kufuatilia sababu ya ben pol kupiga picha zile. Nakumbuka nilikuwa nasema tena kwa msisitizo kuwa Ben pol si mwehu kivile, ana maana yake, pengine anatengeneza video. Sasa leo sijui watasemaje.
Nchi za wenzetu kwenye wasanii waliopiga hatua vitu kama hivi vipo kila siku. Tanzania msanii akifanya ni inshu. ifikea hatua wabongo -ofcourse na wakenya na waganda tubadilike
Mpuuzi tu.Ben Pol aliporelease picha zile watu mapovu yaliwatoka sana. Hawakutaka hata kufuatilia sababu ya ben pol kupiga picha zile. Nakumbuka nilikuwa nasema tena kwa msisitizo kuwa Ben pol si mwehu kivile, ana maana yake, pengine anatengeneza video. Sasa leo sijui watasemaje.
Nchi za wenzetu kwenye wasanii waliopiga hatua vitu kama hivi vipo kila siku. Tanzania msanii akifanya ni inshu. ifikea hatua wabongo -ofcourse na wakenya na waganda tubadilike
Nifatilie kuhusu picha inayoonyesha makalio yake ili iweje?!Acha kukurupuka, fuatilia mwanzo mwisho kitu anachokifanya ben pol.
Ungekuwa hufatilii usingeona wala usingejishughulisha na mada hii. Acha wivuNifatilie kuhusu picha inayoonyesha makalio yake ili iweje?!
Promotion tuChoko tu huyo mtoto.
Sorry ww ni Me au Me?utajiju
Me au Me ndio nini?Sorry ww ni Me au Me?
Alifanya hv makusud akjua kuna wapumbavu wenzake watamsapoti, kama angetaka kuona inavokuw mtu aktekwa angeomba atekwe aone kama watampaka na wese, na mamaake anaona kijana wake kayaanika matako nje cjui nae ampongeze, Tugombane na akina Linah pia na huyu kidume mwenzetu, Yaan kchwa kaweka na pozi kbs hahaha,
UPUUZI WA BEN POOOLI NDO MAANA HAWAFANIKIWI MBONA DIAMOND HAJATUONYESHA MWILI WAKE NA TUNSMKUBALI????? UFREEEMASSSSS NDO UNAMSUMBUAKwa hiyo msanii akitaka kurelease wimbo unaohusiana na kutekwa inabidi apige picha tako nje?
Nchi za wenzetu nchi za wenzetu kwani lazima tufanye kama wao mbona wenzetu wahindi wanajitahidi kufanya yao na wametusua mpaka hollywood wanawaelewa.
Ukimuuliza atakwambia sijui mbona flani wa narekani alifanya hivi... Sisi siyo wamarekani.