Ben Pol: Nilichokilenga kimefanikiwa

Huko nje asilimia kubwa ya wasanii kama sio wote ni mashoga, sasa bila ya kujua au wanafanya makusudi wanaiga matendo yao ambao ni ya kishoga.
 
Kama kimemuingizia pesa sawa,kama kiki bila pesa ni hovyo tu
 
Kwa upande wangu Ben Paul though namkubali sana kazi zake ... Hapo hata kama ni hela ndo inamfanya awe hivyo hanatofauti na MTU anae act scene anakazwa eti kisa kufikisha Ujumbe kwa hadhira.. Akumbuke tu kwamba msanii ni kio cha jamii which means anachokifanya yeye Leo kitaigwa2 siku moja.. Na MTU akasema mbona Ben alifanya?..

Binafsi imenisikitisha sababu amesahau kama nyimbo zake hupendwa na watoto pia.. So hapo pasipo kujua amesha changia kuharibu kizazi kwaajili ya hela ya kutumia siku mbili tu..

Ben umezingua kinyama ... Hata kama ni kiki sio hivyo .. Ona sasa na [HASHTAG]#Harmorapa[/HASHTAG] ameiga!! Hahahahahhh.. Anaachaje kwa mfano?.. Tuangaliage na maslahi ya nchi aisee
 
ulitaka apige akiwa kavaa kanzu wakati scene haihitaji kanzu? Kabla hujahukumu kitu tafuta kwanza maudhui ya hiyo kitu, ufanye upembuzi ndio utoe hukumu. kwa kifupi mnaolaumu na kulalama mlikurupuka tu
Nakuona Mr. Director unavyotoa puvu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] maana unajua kabisa biashara yko itakufa
 
Ungekuwa hufatilii usingeona wala usingejishughulisha na mada hii. Acha wivu
Yaani nimuonee wivu mwanaume aliepiga picha makalio yakiwa wazi?!

Jamaa hivi unakisoma unachokiandika kweli?!
 
Utamaduni wa mwafrika kabla ya Ujio wa waarabu toka uajemi na wamishionari toka bara la ulaya...ulikuwa kuvaa 'kibwebwe' tu kuiziba sehemu ya 'kitendea kazi', mavazi yalikuja na merikebu...
 
Utamaduni wa mwafrika kabla ya Ujio wa waarabu toka uajemi na wamishionari toka bara la ulaya...ulikuwa kuvaa 'kibwebwe' tu kuiziba sehemu ya 'kitendea kazi', mavazi yalikuja na merikebu...
Kweli Mkuu. Zaidi leo nimemsikia ben pol mwenyewe kwenye interview moja amesema kwenye hicho chumba walikuwepo watu takribani sita, mmoja wapo mwanamke. Kasema wala hakuwa uchi wa mnyama kama watu wanavyodhani, bali kuna nguo alivaa na hiyo picha iliyosambaa imefanyiwa editing. Hata mimi niliyasema haya kabale lakini wabongo walikomaa utazani wameona uchi wa ben pol.
 
Kutekwa ndo wanapakwa mafuta????
Nani alimpaka mafuta? kuna kitu kinaitwa phote editing. picha ya kawaida tu iliyopauka inaweza kung'arishwa ukaipenda.
 
Nani alimpaka mafuta? kuna kitu kinaitwa phote editing. picha ya kawaida tu iliyopauka inaweza kung'arishwa ukaipenda.
Bs iyo editing iliyomngalisha jamaa aijalenga maudhui ya kutekwa
 

We ushaona ma tako mangapi yakipita nje nje ambayo si wasanii ? Whats the difference?
 
Hivi mafuta alijipaka mwenyewe hadi mgongoni? Na kujifunga kamba mwenyewewe?
 
Watz ss ni wanafki sana baadhi yenu
Yaani kuna mijitu mishamba na milimbukeni sanaa
Mziki ni mabadiliko na maisha yanabadilika
Baada ya ben pol kuachia picha ile akiwa amefungwa kamba watu mlitokwa na mapovuu sana,nimegundua wengi hamjielewi na mambumbumbu wa kuelewa
Picha ya ben pol ilikua na ujumbe kwa jamii ila wengi wetu ni wavivu wa fikra tena maskini wa maarifa.
Ben pol nakusapot mara milioni upo juu sana na ndo mziki unapaswa uwe sio kila siku unafiki tu, mziki unapaswa uchange uendane na dunia ya leo ya kidigital

Ben pol ametoa good msg kwa jamii yetu na yanayoendelea tz
It is a time for change
Wabongo hatuendelei kwassbb hatutaki kubadilika
[HASHTAG]#Mapovu[/HASHTAG] ruksa ila yasiwe ya sabuni ya mkopo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…