Ben Pol: Nilichokilenga kimefanikiwa

Bado hujaeleweka kijana hit the target. Ben pol anataka kueleza nn hicho ndicho kinachotufanya tujiulize maswali. Kuvua nguo na kujipaka mafuta what does he intended. Logic ni nn hapo. Hatumuelewi anataka tupate meseji gani?
utaelewa tu
 
Kuna uhusiano gani wa mabadikiko kwenye mziki wa Ben pol na kupakwa mafuta vile tena na mwanaume mwenzake na kutuonesha makalio yake..?
Mkuu thread zako zina utata sana una asili ya Ukameruni hiv ndan yake.
 
Yupo sahihi kwako ila kwa upande wangu kimaadili hapana aisee
 
Unapoongea ndipo watu huona ukomo wa fikra zako unapoishia.
Kwani kufikisha Ujumbe hadi Upige Picha ukiwa Uchi? Yaani kwa hadhi na heshima ya Ben pol ni ya kupigwa Picha ile halafu tufurahie!!?
Mtoa mada, sijaunga hoja.
But, sorry sijakashifu mtu
 
Ningekuwa mimi Ben Pol ningelia kuungwa mkono na shoga
 
Kwahiyo anamaanisha wanaotekwa hufanyiwa hivyo?
 
Na vipi akiimba wimbo kuhusiana na kukatwa gogoo jeee inatakiwa apigee picha kaingiziwaa?????
 
Ile picha alimaanisha kwamba msanii akitekwa lazima apakwe mafuta na vilainishi vingine
 
Yani sasa hivi wasanii wamehama kwenye kuamini katika kutoa mziki mzuri wameamia kwenye kuamini kuwa kik ndo zinasukuma mziki.
Nashangaa kuona mwanaume anaunga mkono ujinga huu.
Harmorapa kawaharibu sana wasanii
 
Hakuna cha maana zaidi ya kujishushia heshima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…