Ben Pol with his bae at Salt Bae Dubai

Yaani majamaa ya Kenya yanashangilia watz Kuto.mba dada zao..
Hehehe, aisee endeleeni kutufanyia recommendations za dada zenu wakare sisi tuwakaze kisawasawa,
Mashemeji zetu mna mambo sana nyie
 
They can hold a conversation anywhere with their terrible accent!

Halafu utani mwingine mbaya sana!!! Yaani mtu kama Amina ameshawekwa ndani na kilichobaki ni kupigwa mimba na kuzalishwa tu na Ali Kiba lakini bado unaamini the boy ditched Tanzanian girls so as to have a presentable Kenyan girl with him as he travels across the world?! You don't believe that, do you?!
 
km wameanza kw dada zao hata mende watawafuata na kaka zao baadae inaonekana hawana shughuli
 
Kwa taarifa yako ndo tunaanza kuwadominate hivyo, maana mke siku zote yuko chini ya mume, na kenya imetoa wanawake wengi kwa wasanii wa kibongo so mnaenda kuwa chini yetu[emoji4] [emoji4] [emoji4]

Jiandaeni kisaikolojia
Mimi ni mtanzania ila kusema hivi sio sahihi
 
Mbona vinaumana tena[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]


Sema mwanaume ukikubali kuolewa na kulelewa ndoa haiwezi dumu mamaee pesa ya mwanamke chungu kuliko muarubaini..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…