ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Mbwembwe tu zile....Mwananchi mwenzangu ni (kweli.... kweli).
Yuko vizuri saaana naona kapita As vita..ambako huyu kocha mzungu ndipo alipomuonaHuyo itabidi yupate pesa kumbakiza...
Tuka aondoke msuva tulikosa mtu wakutokea pembeni kuanzisha mashambulizi, ngasa kafeli,kaseke alifeli,ps kajaribu kafeli lakini morisson anaonekana ndio mtu sahihi wakutokea pembeni kama ilivyo falsafa ya club ya yanga kwa miaka mingi.
Hakika huyu jamaa anajua,ana drible,anapiga pasi zenye macho,anaweza kupunguza watu,akizidiwa anaweza kutafuta faulo au kona,ana kila kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
tatizo mshahara baada ya 3month anavunja mkatabaYuko vizuri saaana naona kapita As vita..ambako huyu kocha mzungu ndipo alipomuona
Sent using Jamii Forums mobile app
mkuu mbona unaonekana unahasira kiasi hicho?ujinga tu.unampima kwa walima alzeti?mpeleke kwa kagera aonje vipande vya miwa uone anavyotepeta
Naombea isiwe nguvu ya soda tu mwisho wa siku tukakosa pa kujificha.
Nyota njema huonekana asubuhi Jamaa anaijua kazi yake hana Papara kama wenzake akina Molinga anajua kujipostion,kumiliki mpira na kutafuta njia pasipo nja njia safi sana morisson umeanza vyemaTrip za magomeni na kinondoni zimpitie mbali tu,jamaa ni fundi hasa
Sent using Jamii Forums mobile app
Walima alizeti nao ni wachezaji na ndio kisa walipata goli....messi akicheza na Lipuli atacheza kama messiujinga tu.unampima kwa walima alzeti?mpeleke kwa kagera aonje vipande vya miwa uone anavyotepeta
Huyu ni pendekezo la huyu kocha wetu trumpKwa usajili wooote nadhani huyu ndiye mchezaji.......wengine ni mizigo tu.....
Kumbe,angewahi na kufanya usajili mwenyewe angeleta wachezaji wa maana siyo hii mizigo iliyokuja sijui Yikpe