Horoya alipokufa 7-0 mbona hukulalamika? MOD piga ban ya mwaka huyu MbwigaBila wadau Kama sisi Mambo hayaendi
Mkuu hata Mimi nimeshangazwa sana hapo Kuna namna katika benchi la ufundi.Hivi lengo la Ihefu kupumzisha mastaa wao kwenye ile mechi ya jana, lilikuwa ni nini? Au wana majeraha!
Kwa kweli ilishangaza! Maana kama ni kwenye msimamo wa ligi kuu, wapo sehemu nzuri tu. Sasa ilikuwaje kocha akapanga kikosi cha pili?
Mpaka makolo wanaongoza kwa goli 3, sikumuona Never Tigere, Obrey Chirwa, Yacouba Sogne, na mastaa wengineo wengi wa kikosi chao cha kwanza!
Mtoa mada una hoja ya msingi!
Mtibwa bahasha, prison mchongo ihefu mchongo pia Sasa njooni muifunge wydadHoroya kala 7, prison Tz kala 7, Mtibwa kala 5, Ruvu shooting CALA 5, Geita gold kala 5, Singida united kala 4 na Tanzania polis kala 5. Bado unawasiwasi na ssc. Fungus akili maneno ya Manala usijifanye kipofu mpira ni mchezo wa wazi.View attachment 2580531
Mipango hiyo uliisuka wewe mbona inonga alipomchezea lafu mbaya sureboy, huo mpango aliupanga Nan???Game plan ya Ihefu ilikuwa ni kupumzisha wachezaji wao muhimu na kuwaumiza wachezaji wa Simba wakijua hawana muda wa kurecover kwa mechi ijayo.
Mechi ya Jumanne itakuwa ngumu kwa Simba maana Ihefu watapanga full mkoko huku kuna uwezekano baadhi ya wachezaji muhimu wa Simba watakosekana na watacheza kwa tahadhari maana mechi zingine 3 muhimu zinakuja ndani ya mwezi huu.
Pengo kubwa litakuwa kwa Inonga na Mwenda/Kapombe. Kama Outtara atakuwa amepona itasaidia ila wachezaji muhimu wacheze kwa tahadhari sana maana hata Mzamiru aliumizwa pia game ya jana. Mipango ya kuumiza wachezaji wa Simba ili kuidhoofisha bado ipo.
Ihefu dugu moya na Mikia FC Pusha FC.Ndiyoooo, sina muda wa kutoa salamu maana nitakua napoteza muda tu, twende moja kwa moja kwenye point kuu.
Hakika NALIA NGWENA toka nianze kushuhudia mpira sijawahi kushuhudia robo fainali mbovu Kama hii ya simba vs ihefu huu ni ukweli usiopingika.
Hii siyo ihefu iliyoifunga yanga, Wala siyo ihefu iliyoifunga Azam na wala siyo ihefu iliyokuja kuleta changamoto uwanja wa mkapa kwa wakubwa wa kariakoo.
Nilitegemea kuona mpira wenye ushindani mpira mzuri na wakuvutia na nilitegemea kuona mpaka dakika tisini hakuna goli ni mwendo wa matuta.
Benchi la ufundi Ihefu FC, jitafakarini kwa hicho mlichokifanya nyuma ya pazia ili kuwapa unafuu hao wakongwe wa kariakoo, ni Jambo la kusikitisha sana Simba anaingiza timu yake ya kikosi cha kwanza halafu kocha wa ihefu unaingiza kikosi cha mazoezini.
Lazima utakula nyingi tu, kocha wa ihefu siyo mgeni na timu za kariakoo ila ulichokifanya ni makusudi kwa sababu kilichopo nyuma ya pazia unakijua na ndiyo maana ukaamua kuingiza wachezaji wasiojua hata kutuliza mpira.
My take, kwa hali hii mpira wetu wa Tanzania utakua unapiga hatua mbili mbele Kisha kurudi hatua tano kuja kujipongeza.
Nilishawahi kusema humu, nikiona dalili za Simba kushinda mechi kwa bahasha nitakuwa wa kwanza kukemea. Kuna raha yake unaposhinda kwa haki. Magoli yote yalikuwa "contested" jana na kipa na mabeki.Mipango hiyo uliisuka wewe mbona inonga alipomchezea lafu mbaya sureboy, huo mpango aliupanga Nan???
Acheni kujificha kwenye kivuli kisichokua na mantiki
Weka kikosi imara ambacho kilitakiwa kupangwa lakini kwa makusudi hakikupangwaWachezaji walioingizwa kama vile wamekuja mechi yakirafiki bahasha imetembea siyo bure
Hii nso shida ya kutumia KAMASI badala ya kusara na kufiriki, unapotoa post! Punguza ushabiki.Ndiyoooo, sina muda wa kutoa salamu maana nitakua napoteza muda tu, twende moja kwa moja kwenye point kuu.
Hakika NALIA NGWENA toka nianze kushuhudia mpira sijawahi kushuhudia robo fainali mbovu Kama hii ya simba vs ihefu huu ni ukweli usiopingika.
Hii siyo ihefu iliyoifunga yanga, Wala siyo ihefu iliyoifunga Azam na wala siyo ihefu iliyokuja kuleta changamoto uwanja wa mkapa kwa wakubwa wa kariakoo.
Nilitegemea kuona mpira wenye ushindani mpira mzuri na wakuvutia na nilitegemea kuona mpaka dakika tisini hakuna goli ni mwendo wa matuta.
Benchi la ufundi Ihefu FC, jitafakarini kwa hicho mlichokifanya nyuma ya pazia ili kuwapa unafuu hao wakongwe wa kariakoo, ni Jambo la kusikitisha sana Simba anaingiza timu yake ya kikosi cha kwanza halafu kocha wa ihefu unaingiza kikosi cha mazoezini.
Lazima utakula nyingi tu, kocha wa ihefu siyo mgeni na timu za kariakoo ila ulichokifanya ni makusudi kwa sababu kilichopo nyuma ya pazia unakijua na ndiyo maana ukaamua kuingiza wachezaji wasiojua hata kutuliza mpira.
My take, kwa hali hii mpira wetu wa Tanzania utakua unapiga hatua mbili mbele Kisha kurudi hatua tano kuja kujipongeza.
Huyu Rage mbona unamtukuza sana kila mara unamtaja au ndiye aliondoa usichana wako?Yakupasa kutupia na msemo aliouzungumza rage.
Itoshe tu kusema huna akiliHivi lengo la Ihefu kupumzisha mastaa wao kwenye ile mechi ya jana, lilikuwa ni nini? Au wana majeraha!
Kwa kweli ilishangaza! Maana kama ni kwenye msimamo wa ligi kuu, wapo sehemu nzuri tu. Sasa ilikuwaje kocha akapanga kikosi cha pili?
Mpaka makolo wanaongoza kwa goli 3, sikumuona Never Tigere, Obrey Chirwa, Yacouba Sogne, na mastaa wengineo wengi wa kikosi chao cha kwanza!
Mtoa mada una hoja ya msingi!
Shukurani sana afande wa zenjiHuyu Rage mbona unamtukuza sana kila mara unamtaja au ndiye aliondoa usichana wako?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
ihefu kuna benci la ufundi?Ndiyoooo, sina muda wa kutoa salamu maana nitakua napoteza muda tu, twende moja kwa moja kwenye point kuu.
Hakika NALIA NGWENA toka nianze kushuhudia mpira sijawahi kushuhudia robo fainali mbovu Kama hii ya simba vs ihefu huu ni ukweli usiopingika.
Hii siyo ihefu iliyoifunga yanga, Wala siyo ihefu iliyoifunga Azam na wala siyo ihefu iliyokuja kuleta changamoto uwanja wa mkapa kwa wakubwa wa kariakoo.
Nilitegemea kuona mpira wenye ushindani mpira mzuri na wakuvutia na nilitegemea kuona mpaka dakika tisini hakuna goli ni mwendo wa matuta.
Benchi la ufundi Ihefu FC, jitafakarini kwa hicho mlichokifanya nyuma ya pazia ili kuwapa unafuu hao wakongwe wa kariakoo, ni Jambo la kusikitisha sana Simba anaingiza timu yake ya kikosi cha kwanza halafu kocha wa ihefu unaingiza kikosi cha mazoezini.
Lazima utakula nyingi tu, kocha wa ihefu siyo mgeni na timu za kariakoo ila ulichokifanya ni makusudi kwa sababu kilichopo nyuma ya pazia unakijua na ndiyo maana ukaamua kuingiza wachezaji wasiojua hata kutuliza mpira.
My take, kwa hali hii mpira wetu wa Tanzania utakua unapiga hatua mbili mbele Kisha kurudi hatua tano kuja kujipongeza.
Hapana Kuna benchi la veta.ihefu kuna benci la ufundi?
Hakuna chochote bahasha ilitembea kiroho Safi.Ihefu FC hayuko kwenye position nzuri sana NBC league, inawezekana kipaumbele cha benchi la ufundi ni kuhakikisha wanabaki ligu kuu kwanza.
ndio masna wamefungwaHapana Kuna benchi la veta.