Benchi la ufundi Ihefu FC, msitufanye mashabiki hatuna akili tunajua kila kitu kinachoendelea nyuma ya pazia

Yakuba kaingia kipindi Cha pili na wachezaji wengine muhimu bada Simba kufunga magoli manne kipindi Cha kwanza.
Kwani Mayele na Aziz Ki wameingia kipindi cha ngapi jana? Si waliingia pia kuokoa jahazi baada ya timu kuonekana haiperform? Tofauti iko wapi hapo?
 
Mo alijifanya kuonya watu wanapanga matokeo kwa kubet,ikiwa Ni Kinga kwa kuwapa ihefu bahasha.hakuna kombe kwa Dunduka unajipeleka mdomoni kwa Chatu Kama mbwa mkia.hakuna kombe kwa Dunduka dadako Azam atakubeba.fanali tunakufumua
 
Mo alijifanya kuonya watu wanapanga matokeo kwa kubet,ikiwa Ni Kinga kwa kuwapa ihefu bahasha.hakuna kombe kwa Dunduka unajipeleka mdomoni kwa Chatu Kama mbwa mkia.hakuna kombe kwa Dunduka dadako Azam atakubeba.fanali tunakufumua
[emoji16] umeongea point mkuu ngoja waje wakupige mawe jiandae kisaikolojia
 
Waliwekwa benchi wote, wakiipa nafasi kwanza Simba ifunge hiyo mechi ilikua kimikakati
Kile kikosi kilichomuua azam pale highland estate kwa nn hawajakiweka?! Walikua na sababu gani. Yaan mtu hata ball control hana eti anaanza. Muone kipa kwanza makosa yake. Watoto wahuni sana wale.

Hata hivo mm namuombea kolo afike final na sisi wananchi tufike huko ili kuwe na amsha amsha tulifumue. Kisasi cha kigoma bado hakijalipwa.
 
Ilikua mechi yakimkakati sana ile [emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…