Benchi la Ufundi la Simba liwapange kikosi cha kwanza Paschal Wawa, Shomari Kapombe, Mohamed Hussein na John Boko Mechi ya kesho!

Benchi la Ufundi la Simba liwapange kikosi cha kwanza Paschal Wawa, Shomari Kapombe, Mohamed Hussein na John Boko Mechi ya kesho!

Uzalendo wa Kitanzania

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2020
Posts
3,585
Reaction score
8,106
Wadau wa JF,

Watanzania wote,

Wapenzi wa Soka,

Mimi ni mpenzi wa Klabu ya Yanga ila kwenye Mechi ya kesho ya Watani wa Jadi naombea sana Benchi la Ufundi la Simba liwapange wachezaji wafuatao kwenye Kikosi cha kwanza yaani 1st Eleven.

John Bocco, Paschal Wawa, Shomari Kapombe & Mohamed Hussein Zimbwe Junior

Wakipangwa hawa japo Mimi ni Utopolo nitafurahi na kufarijika sana!

Ikitokea hivyo mechi itanoga na kupendeza sana!

Ni hayo tu kwa leo wadau

Ungana nami kwenye maombi !& tukutane kesho saa 11 kwa Mkapa

Praying!
 
Kwa maoni yangu hao ndio wanafaa zaidi
1. Kapombe ni more experience than Israel na ukilinganisha na presha iliopo Israel atapotea mapema

2.Shabalala hana mpinzani kwa namba yake
3.Wawa anahitajika kuchezesha timu
Vile vile Wawa ndio CB wa Simba mwenye Spid

4.Bocco ni Bora kwenye kucheza hasa timu inapokuwa na viungo wengi ila anakosakosa sana
 
Wawa yule mtoa maboko na umri umekimbia atawezana na Spidi ya Jesus Dukapel Moloko?

Angalau M15 kidogo kwa mbaaali

John Bocco sio tishio tena kama zamani pumzi inekata

Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom