NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Najua kocha anapenda kumtumia Saidoo ntibazonkiza kwa sababu ya profile yake lakini ukija kwenye pitch huyu Saidoo hakupi unachotaka.
Kuna mchezaji Kama Miqson, kibu denis Hawa wanafaa kupewa dakika nyingi za kucheza kuliko Saidoo ntibazonkiza anayekua Bora kwa dakika 30 akizidisha hapo anatepeta kabisa anakua ni mchezaji wa kupoteza mipira.
Mchezo dhidi ya Al ahly Saidoo hakustahili kucheza dakika 70, ilibidi atoke mapema iingie nguvu mpya nguvu Kasi ambapo pengine tungezungumza mengine kutokana na mipira aliyoipoteza Saidoo na golden chance zingezaa matunda.
Maoni Yangu: Saidoo ntibazonkiza Umri umeenda dakika 30 zinamtosha tofauti na hapo anakua mzigo benchi la ufundi liangalie kwa jicho la tatu nani anaweza kufit nafasi anayocheza Saidoo ntibazonkiza.
Kuna mchezaji Kama Miqson, kibu denis Hawa wanafaa kupewa dakika nyingi za kucheza kuliko Saidoo ntibazonkiza anayekua Bora kwa dakika 30 akizidisha hapo anatepeta kabisa anakua ni mchezaji wa kupoteza mipira.
Mchezo dhidi ya Al ahly Saidoo hakustahili kucheza dakika 70, ilibidi atoke mapema iingie nguvu mpya nguvu Kasi ambapo pengine tungezungumza mengine kutokana na mipira aliyoipoteza Saidoo na golden chance zingezaa matunda.
Maoni Yangu: Saidoo ntibazonkiza Umri umeenda dakika 30 zinamtosha tofauti na hapo anakua mzigo benchi la ufundi liangalie kwa jicho la tatu nani anaweza kufit nafasi anayocheza Saidoo ntibazonkiza.