Benchi la Ufundi Simba SC

Ulitaka ataje hiyo sababu.?

Manara pia aliondoka Simba kwa Sababu za kimamlaka dhidi yake na Barba. Hii shida ipo pale Msimbazi. Fungua macho yako
Juma Mkaamia naye aliondoka kwa madai kama hayo na akamsikitikia Kassim Dewj kwamba anapata taabu sana.
 
Sijui mnahangaika kutafuta kitu gani!!? Jambo limeshafafanuliwa lakini bado tu mnatafuta sababu za kusadikika!!

Kwanza Kocha hakutaka kutoa ufafanuzi. Ameombwa sana. Yeye anaona ni mavitu ya ajabu tu
 
Inawezekana. Lack of chain of command.

Hawa akina Matola ndio walisababisha tutolewe na jwannang Galaxy.
 
Tulia wewe kolo acha unazo.. Suala la jamaa kuwa Shabiki wa Yanga sio dhambi Ila kikubwa kaandika fact ndo kitu tunaconsider.
Uchambuz ni mzuri toka kwa jamaa tena uliotukuka
 
Pamoja na kuwekewa video ya kiswahili ili muielewe iwapo tatizo ni lugha, bado mnalazimisha sababu ambayo wala haijatajwa mahali popote. Basi tufanye upo sahihi [emoji16][emoji16][emoji16]
Mimi nimepata pointi moja kwake, je, ni sahihi kwa makocha wote kusimama na kutoa maelekezo kwa wachezaji?


Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Nafikiri jamaa amechambua uhalisia wa jambo jinsi lilivyo na namna ambavyo head coach anavyokuwa hasa katika match za Ulaya na kwingineko.Ametolea mfano hata Aly Ahly namna head coach anavyo-perfom majukum yake match inapoanza.

Kama mwandishi ni mpenzi wa Yanga,basi ameliona tatizo na kama kweli hao wasaidizi wa head coah hawasimami kwa idhini ya kocha mkuu basi maelezo yake ni sahihi sana bila kuangalia mrengo wake katika ushabiki wala kuhusianisha na tukio la match iliyopita.Uhalisia ubaki kama ulivyo,kwamba;

1.Assistance coach anaweza kusimama kutoa maelezo bila idhini ya head coach?
2.Je,hatuawahi kusikia kocha mkuu analalamika kuingiliwa majukumu na kocha msaidizi pale Simba?

Kuna jambo la kulirekebisha pale Simba.
 
I think ungejikita na content sio anae toa hoja mfano hii hoja ingetolewa na shabiki wa Simba ungekubaliana nayo au nae ungemuita Nyani?
 
Hivi unajisikia aje kumuita mwezako Nyani, Mbwa kisa tu mpira haya maneno si ya kibaguzi ambayo watu weusi tuna lalamika kila siku wanapo itwa wenzetu huko Europe and Asia? Football is fair game behave like a man
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…