Benchi la ufundi Yanga lilichemsha

Benchi la ufundi Yanga lilichemsha

PintoG

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2017
Posts
612
Reaction score
732
Hii nimeiona Tanzania peke yake tena pale Benchi la ufundi yanga kwenye mechi ya jana, mchezaji ambaye amekaa nje ya uwanja kwa zaidi ya week mbili tena akiwa kwao, anasafiri masaa machache kabla ya mechi na anapangwa kuingia uwanjani,
hana mechi fitness, hajatrain na team kwa muda wote, kisaikolojia pia hayupo sawa sawa,

Inakuwaje anapewa nafasi ya kucheza?? Kwa hili bench la ufundi linalazimika kubeba lawama.

Maana ilionekana wazi hata alivyokuwa anacheza hakuwa sawa mpaka namna alivyopiga penati.

SIASA ZA MPIRA WA TANZANIA NI SUMU KWA MAFANIKIO YA MPIRA.
 
Mkuu mapinduzi cup ndio mechi ya kuwachezesha wachezaji wasiokuwa na nafasi team A na wale wanaotaka kurudi kwenye fitness
 
Alishaongea Rais wa awamu ya pili Tanzania ni kichwa cha mwendawazimu kila kinyozi anajifunzia kunyoa......huo usemi mpaka kuja kuugeuza sio kizazi hiki labda vitukuu vyetu.
 
Dahh nimeishia kucheka tuu hujapitia tena ulivyomaliza kuandika?? Maana si kwa michapio hiyo😀
 
Kwa sbb sisi Yanga wanasema wametuoa naona wamekufa kwa ugonjwa tuliowaambukiza hahhahahahahhag
 
Kwa sbb sisi Yanga wanasema wametuoa naona wamekufa kwa ugonjwa tuliowaambukiza hahhahahahahhag
N kwa timu hii ya yanga ilivyo sasahivi michuano ya kimataifa tusitegemee lolote, jana hapakuwa kabisa na no nane mwenye kupandisha timu, papi na makapu wote defensive ndo maana papi hakuwa hata anasogea mbele, kiukweli hata kuvuka dakika 90 salama ilikuwa bahati.pengo la msuva na hata Niyo linaonekana,
 
Back
Top Bottom