NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Nianze kwa kutoa pongezi zangu za dhati kabisa Tena kwa moyo mkunjufu kwa Yanga sc kutwaa ubingwa /kuchukua kombe la Nbcpl kwa Mara ya ishirini na tisa (29).
Hakika pongezi hizi zifike kwa viongozi wa simba, ooh kumradhi viongozi wa Yanga sc , benchi la ufundi pamoja na mashabiki hakika hakika mnastahili sifa.
Twende moja kwa moja kwenye maada Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza.
NALIA NGWENA, nilishitushwa kidogo kuona Benard Morrison (Toto tundu) kufanyiwa "sub" lakina hakutaka kutoka na huku aliyetakiwa kubadilishana naye (Clement mzinze) alikua tayari kasimama na alisimama nje kwa dk tano (5).
Mpaka mashabiki walipoanza kumzomea Morrison ndipo akatii wito wa kutoka nje na Clement mzinze akaingia.
Kimtazamo huu ni utovu wa nidhamu, Prof Nabbi hakutaka kumpa hata mkono na Morrison alikwenda benchi hakutaka hata kuwapa mikono wachezaji wenzake.
Sub ya Clement mzinze ilikwenda kuzaa matunda nakupata goli la kusawazisha.
Morrison hastahili kuwa Yanga msimu unaokuja, utoto wa namna hii na ujinga utakuja kuigharimu timu.
Hakika pongezi hizi zifike kwa viongozi wa simba, ooh kumradhi viongozi wa Yanga sc , benchi la ufundi pamoja na mashabiki hakika hakika mnastahili sifa.
Twende moja kwa moja kwenye maada Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza.
NALIA NGWENA, nilishitushwa kidogo kuona Benard Morrison (Toto tundu) kufanyiwa "sub" lakina hakutaka kutoka na huku aliyetakiwa kubadilishana naye (Clement mzinze) alikua tayari kasimama na alisimama nje kwa dk tano (5).
Mpaka mashabiki walipoanza kumzomea Morrison ndipo akatii wito wa kutoka nje na Clement mzinze akaingia.
Kimtazamo huu ni utovu wa nidhamu, Prof Nabbi hakutaka kumpa hata mkono na Morrison alikwenda benchi hakutaka hata kuwapa mikono wachezaji wenzake.
Sub ya Clement mzinze ilikwenda kuzaa matunda nakupata goli la kusawazisha.
Morrison hastahili kuwa Yanga msimu unaokuja, utoto wa namna hii na ujinga utakuja kuigharimu timu.