DENLSON JF-Expert Member Joined Apr 28, 2013 Posts 949 Reaction score 1,260 Jun 11, 2017 #21 Ukitaka kupata jibu chukua idadi ya magoli na makombe yao wote alafu linganisha
Dodou JF-Expert Member Joined May 4, 2017 Posts 494 Reaction score 391 Jun 11, 2017 #22 Aisee! Barcelona linapungua kilo kidogo
king salaza Member Joined Jan 29, 2017 Posts 80 Reaction score 65 Jun 11, 2017 #23 Mbimbinho said: Nilipoanza kuangalia picha ya kwanza nikajiaemea hakuna Wa kulinganisha, ila baada ya kuangalia na hilo LA Real, naomba niwe mpenzi Wa Mungu, nimeshindwa kuchagua. Kote kupo hot Click to expand... Tupo pamoja
Mbimbinho said: Nilipoanza kuangalia picha ya kwanza nikajiaemea hakuna Wa kulinganisha, ila baada ya kuangalia na hilo LA Real, naomba niwe mpenzi Wa Mungu, nimeshindwa kuchagua. Kote kupo hot Click to expand... Tupo pamoja
phil_kabuje Member Joined Mar 27, 2014 Posts 67 Reaction score 73 Jun 11, 2017 #24 Hiyo Barca haifikii ile ya xavi iniesta na Messi wala hiyo Madrid haina kitu kwa hii ya sasa.. Tutagundua hili baada ya miaka kumi kupita Tena
Hiyo Barca haifikii ile ya xavi iniesta na Messi wala hiyo Madrid haina kitu kwa hii ya sasa.. Tutagundua hili baada ya miaka kumi kupita Tena
Abu Ubaidah Commando JF-Expert Member Joined Sep 8, 2016 Posts 7,591 Reaction score 6,946 Jun 12, 2017 #25 Tupo kipindi cha KING MESSI bwana toto la kiArgentina.nashukuru mno mno mno kumshuhudia huyu mchawi asiekuwa na mpinzani.
Tupo kipindi cha KING MESSI bwana toto la kiArgentina.nashukuru mno mno mno kumshuhudia huyu mchawi asiekuwa na mpinzani.
Abu Ubaidah Commando JF-Expert Member Joined Sep 8, 2016 Posts 7,591 Reaction score 6,946 Jun 12, 2017 #26 Nasema ivi.naludia tena Nasema ivi. Barcelona ya Messi xavi iniesta ni hatali mno kuwahi kutokea katika hii dunia. Na haitatokea again.
Nasema ivi.naludia tena Nasema ivi. Barcelona ya Messi xavi iniesta ni hatali mno kuwahi kutokea katika hii dunia. Na haitatokea again.
form1 Senior Member Joined May 21, 2017 Posts 113 Reaction score 143 Jun 12, 2017 #27 Ugali moto mboga moto
L lave Member Joined Jun 9, 2017 Posts 7 Reaction score 8 Jun 12, 2017 #28 Usifananishe benchi Ilo la Madrid na wajuao kiasi.
T Truth Matters JF-Expert Member Joined Apr 12, 2013 Posts 2,302 Reaction score 4,603 Jun 12, 2017 #29 Kusaidia tu, angalia kila bench lina Washindi wa ballon d'or wangapi! kisha changanya na zako!
Abu Ubaidah Commando JF-Expert Member Joined Sep 8, 2016 Posts 7,591 Reaction score 6,946 Jun 12, 2017 #30 Benchi lote la Barcelona + benchi la madrid=KING LEONEL MESSI
BlackPanther JF-Expert Member Joined Nov 25, 2015 Posts 9,185 Reaction score 8,715 Jun 12, 2017 #31 Hao ni nyanya tu.King and teamates ndiyo mpango mzima.
orangutan JF-Expert Member Joined Mar 21, 2014 Posts 757 Reaction score 774 Jun 12, 2017 Thread starter #32 Dalmine said: Benchi lote la Barcelona + benchi la madrid=KING LEONEL MESSI Click to expand... Hayo mahaba yamezidi kipimo
Dalmine said: Benchi lote la Barcelona + benchi la madrid=KING LEONEL MESSI Click to expand... Hayo mahaba yamezidi kipimo