BENCHIKA, anza kumtumia Shaaban Chilunda kwenye ushambuliaji utanishukuru, Baleke hana sumu tena

Leonel Ateba Mbinda

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2023
Posts
644
Reaction score
2,695
Bocco tushamuona, Baleke tumemuona hana jipya tena, kila cku yeye ni kukosa magoli tu, Phiri amechapoteza mwelekeo, shabaha iliyopo sasa hv ni Shaaban Chilunda tu, kijana huyo ana uwezo mkubwa sana wa kubadilisha ubao wa magoli, kama utaendelea na Baleke ambaye inaonekana amefungwa ndumba miguuni utaipoteza timu.

Baleke hana sumu yoyote sasa hvi, weka pembeni twende na Chilunda sasa hv
 
Bora ulivyoshauri. Maana kwa washambuliaji waliopo hakuna mwanye uwezo wa kufunga.
 
Hakuna striker pale simba atafanya vizuri boko akiwa bado mchezaji wa simba yaani boko Mohammed na kapombe wameiva kwenye elimu ya anga.
 
Kocha aanze kuwaamini vijana ambao naona watampa mafanikio.
Was hezaji Kama Mohamed Musa, hamisi na chilunda ni wachezaji wazuri awaanzishe hao wengine Hadi kamati ya ufundi ikae vizuri, .
Mchezaji Kama chama anatakiwa apumzishwe
 
Baleke bonge la striker
Ukiwa striker hata nafasi ya kukosa goal kuipata ni ngumu
Striker anayepiga off target mheshimu
Ukiwa striker chance haziji kirahisi tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…