Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
Level ya ushindani zipi anazosema, ameshindwa kumfunga IHEFU, PRISON, MASHUJAA halafu anasema hakuna ushindani. Ligi ya Tanzania imekuwa kimbilio la wachezaji wengi wa Afrika maana yake ni Bora sana. Yeye aseme tu anakimbia li timu libovu na hakieleweki.I will make it short,
TFF kuna pesa za kujenga viwanja vya carpet ni watu wanazuia hiyo process. possibility ya 20 carpet fields ipo.
We have to change the whole organisation, incompetent people wasio na mipango run tff.
I know few organisations who can strike a deal for these fields in 5 years. sema watu wamekaa ofisini waiting for deals.
Watu kama wa Simba, vilaza ndio wa TFF, useless.
#Noffence