Benchikha kuwafunga Al Ahly Super Cup kisichukuliwe kama kigezo cha Simba sc kuifunga Al ahly kwa kuwa Benchikha yupo Simba sc

Benchikha kuwafunga Al Ahly Super Cup kisichukuliwe kama kigezo cha Simba sc kuifunga Al ahly kwa kuwa Benchikha yupo Simba sc

NALIA NGWENA

JF-Expert Member
Joined
Oct 6, 2016
Posts
10,587
Reaction score
13,425
Nimeshangazwa na mashabiki wa Simba sc wakiongozwa na Msemaji wao Ahmedy Ally (kisipika) akijinadi kuwa Al ahly atafungwa kwa kuwa Wanakocha mzuri aliyewahi kuchukua Super cup mbele ya Al ahly.

Je mmesahau kuwa Kocha Robertinho aliifunga Yanga Sc akiwa na Vipers sc na timu ya Simba sc ilimuajili kwa kuwa kaifunga Yanga ?! na kilimtokea nini baada ya Kupigwa goli tano ??

NALIA NGWENA natumia jukwaa hili kuwasihi mashabiki wa Simba sc wasidanganywe/ wasidanganyike na kuingia na matokeo mfukoni kwani huu ni mchezo wa mpira wa miguu mchezo ambao unachezwa wazi bila ya kificho.

Kocha anaweza kuwa mzuri lakini tatizo linakuja je timu ilimuwezesha Benchikha wachezaji wazuri (majembe) anaowataka yeye?! Logic yangu ni kuwa Benchikha aliifunga Al ahly akiwa na kikosi kizuri kilichomuwezesha kuchukua Kombe la shirikisho.

Maoni Yangu: hata kocha awe mzuri vipi ni ngumu kuonesha ubora wake Kama kapewa wachezaji magalasa (low quality player) hapa lazima kocha alaumiwe kutokana na kutowezeshwa wachezaji anaowataka yeye.

Ahmedy Ally na kikosi chake Cha hamasa wasitumie kigezo Cha Benchikha kuifunga Al ahly kwenye kombe la super cup ndiyo kiwe kigezo Cha kuifunga akiwa na Simba sc.
 
Kitu nilichokigundua ni Ukishabikia sanaaaa Simba na Yanga. kichwani lazima zipungue.

KUNA VIJANA WENGI MNO AKILI ZIMEWARUKA KABISA, HAWANA FUTURE WAO NI KUWAZA SIMBA NA YANGA TU.....

MSIPOTEZE MUDA NA UPUUZI WA SIMBA NA YANGA.
HIZO TIMU NI VYOMBO VYA PROPAGANDA VYA SELIKALI KUWAPOTEZA MABOYA.

MY MESSAGE
MWENYE MASIKIO NA ASIKIE
 
images (1)-1.jpeg
 
Nimeshangazwa na mashabiki wa Simba sc wakiongozwa na Msemaji wao Ahmedy Ally (kisipika) akijinadi kuwa Al ahly atafungwa kwa kuwa Wanakocha mzuri aliyewahi kuchukua Super cup mbele ya Al ahly.

Je mmesahau kuwa Kocha Robertinho aliifunga Yanga Sc akiwa na Vipers sc na timu ya Simba sc ilimuajili kwa kuwa kaifunga Yanga ?! na kilimtokea nini baada ya Kupigwa goli tano ??

NALIA NGWENA natumia jukwaa hili kuwasihi mashabiki wa Simba sc wasidanganywe/ wasidanganyike na kuingia na matokeo mfukoni kwani huu ni mchezo wa mpira wa miguu mchezo ambao unachezwa wazi bila ya kificho.

Kocha anaweza kuwa mzuri lakini tatizo linakuja je timu ilimuwezesha Benchikha wachezaji wazuri (majembe) anaowataka yeye?! Logic yangu ni kuwa Benchikha aliifunga Al ahly akiwa na kikosi kizuri kilichomuwezesha kuchukua Kombe la shirikisho.

Maoni Yangu: hata kocha awe mzuri vipi ni ngumu kuonesha ubora wake Kama kapewa wachezaji magalasa (low quality player) hapa lazima kocha alaumiwe kutokana na kutowezeshwa wachezaji anaowataka yeye.

Ahmedy Ally na kikosi chake Cha hamasa wasitumie kigezo Cha Benchikha kuifunga Al ahly kwenye kombe la super cup ndiyo kiwe kigezo Cha kuifunga akiwa na Simba sc.
Mbona ninyi mnachukulia kuwatoa Malumo ya Afrika Kusini ni Kigezo cha kuitoa Melody.

Daima weka Mbele Nyuma kuna Mwiko
 
Nimeshangazwa na mashabiki wa Simba sc wakiongozwa na Msemaji wao Ahmedy Ally (kisipika) akijinadi kuwa Al ahly atafungwa kwa kuwa Wanakocha mzuri aliyewahi kuchukua Super cup mbele ya Al ahly.

Je mmesahau kuwa Kocha Robertinho aliifunga Yanga Sc akiwa na Vipers sc na timu ya Simba sc ilimuajili kwa kuwa kaifunga Yanga ?! na kilimtokea nini baada ya Kupigwa goli tano ??

NALIA NGWENA natumia jukwaa hili kuwasihi mashabiki wa Simba sc wasidanganywe/ wasidanganyike na kuingia na matokeo mfukoni kwani huu ni mchezo wa mpira wa miguu mchezo ambao unachezwa wazi bila ya kificho.

Kocha anaweza kuwa mzuri lakini tatizo linakuja je timu ilimuwezesha Benchikha wachezaji wazuri (majembe) anaowataka yeye?! Logic yangu ni kuwa Benchikha aliifunga Al ahly akiwa na kikosi kizuri kilichomuwezesha kuchukua Kombe la shirikisho.

Maoni Yangu: hata kocha awe mzuri vipi ni ngumu kuonesha ubora wake Kama kapewa wachezaji magalasa (low quality player) hapa lazima kocha alaumiwe kutokana na kutowezeshwa wachezaji anaowataka yeye.

Ahmedy Ally na kikosi chake Cha hamasa wasitumie kigezo Cha Benchikha kuifunga Al ahly kwenye kombe la super cup ndiyo kiwe kigezo Cha kuifunga akiwa na Simba sc.
Tuliza mshono huo,ya Simba waachie wenyewe,wewe hangaika na utopolo yako,sawa sawa
 
Nimeshangazwa na mashabiki wa Simba sc wakiongozwa na Msemaji wao Ahmedy Ally (kisipika) akijinadi kuwa Al ahly atafungwa kwa kuwa Wanakocha mzuri aliyewahi kuchukua Super cup mbele ya Al ahly.

Je mmesahau kuwa Kocha Robertinho aliifunga Yanga Sc akiwa na Vipers sc na timu ya Simba sc ilimuajili kwa kuwa kaifunga Yanga ?! na kilimtokea nini baada ya Kupigwa goli tano ??

NALIA NGWENA natumia jukwaa hili kuwasihi mashabiki wa Simba sc wasidanganywe/ wasidanganyike na kuingia na matokeo mfukoni kwani huu ni mchezo wa mpira wa miguu mchezo ambao unachezwa wazi bila ya kificho.

Kocha anaweza kuwa mzuri lakini tatizo linakuja je timu ilimuwezesha Benchikha wachezaji wazuri (majembe) anaowataka yeye?! Logic yangu ni kuwa Benchikha aliifunga Al ahly akiwa na kikosi kizuri kilichomuwezesha kuchukua Kombe la shirikisho.

Maoni Yangu: hata kocha awe mzuri vipi ni ngumu kuonesha ubora wake Kama kapewa wachezaji magalasa (low quality player) hapa lazima kocha alaumiwe kutokana na kutowezeshwa wachezaji anaowataka yeye.

Ahmedy Ally na kikosi chake Cha hamasa wasitumie kigezo Cha Benchikha kuifunga Al ahly kwenye kombe la super cup ndiyo kiwe kigezo Cha kuifunga akiwa na Simba sc.
We nyau huna timu yako ukaizungumzia? Kila wakati ni Simba tu
 
Kama sikosei, H2H ya Simba vs Yanga wakati Simba iko chini ya Robertinho ni 2 kwa 1 ikiwemo kubeba ngao mbele ya Yanga. Hoja yako inafia hapo hapo
 
Back
Top Bottom