Technician
JF-Expert Member
- Mar 30, 2010
- 841
- 222
Nimejaribu kuangalia magari kama 100 yakipita hakuna hata moja lililoweka bendera ya ccm kipindi hiki cha uchaguzi kama ilivyokuwa kawaida kwa miaka mingine,kulikoni jamani,hata watu wa ccm hawakupewa hizo bendera jamani.