Elections 2010 bendera ndani ya magari-kulikoni hazionekani?

Technician

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2010
Posts
841
Reaction score
222
Nimejaribu kuangalia magari kama 100 yakipita hakuna hata moja lililoweka bendera ya ccm kipindi hiki cha uchaguzi kama ilivyokuwa kawaida kwa miaka mingine,kulikoni jamani,hata watu wa ccm hawakupewa hizo bendera jamani.
 
hawataki; nikiwaona naona kinyaa sijui wamegundua wanachukiwa na kuogopa kuitwa mafisadi
 
Nimejaribu kuangalia magari kama 100 yakipita hakuna hata moja lililoweka bendera ya ccm kipindi hiki cha uchaguzi kama ilivyokuwa kawaida kwa miaka mingine,kulikoni jamani,hata watu wa ccm hawakupewa hizo bendera jamani.

Hata wao hawana roho ya chuma.

Ni aibu kuweka wheel-cover yenye ujumbe: Maisha Bora kwa Kila Mtanzania wakati wananchi kwa asilimia zaidi ya 70 ni masikini wasiojua kesho watakula nini?

Breaking News: Jamaa kaahidi barabara za lami Shinyanga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…