Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Jana Jumamosi 15/04/2023 Waziri Mkuu alikuwa Zanzibar akizindua kitabu cha taarifa ya Sensa iliyopita, kwenye uzinduzi huo walikuwepo wananchi ukumbini ambao walikuwa wakipepea bendera za taifa, kitu ambacho sikuelewa ni hizo bendera za taifa katikati kuwa na picha ya rais mama Samia!
Bendera yetu ya taifa ipo kikatiba na inalindwa na sheria ambayo hairuhusu mtu yeyote kubadili sehemu yoyote ya bendera hiyo, sasa ni vipi hii imebadilishwa na ni kwa idhini ya nani? Ni vizuri serikali itufahamishe kuhusu uwepo hiyo picha kwenye bendera ya taifa.
Bendera yetu ya taifa ipo kikatiba na inalindwa na sheria ambayo hairuhusu mtu yeyote kubadili sehemu yoyote ya bendera hiyo, sasa ni vipi hii imebadilishwa na ni kwa idhini ya nani? Ni vizuri serikali itufahamishe kuhusu uwepo hiyo picha kwenye bendera ya taifa.