GoldDhahabu
JF-Expert Member
- Apr 29, 2023
- 7,189
- 10,375
Kwa nini isiruhusiwe??Inaruhusiwa?
Hayati Mchungaji Dkt. Christopher Mtikila alikuwa nayo nyumbani kwake ktk kipindi chote cha uhai wake.Zinaweza kupatikana wapi?
Nazihitaji walau pisi tatu: ya nyumbani, ya kazini n.k.
Naamini na Watanganyika wengine wanazihitaji!
Tutazipata wapi?
utasiriamali huo, mtu akichapisha auze hata mtaani tu, atapiga pesa balaa.Zinaweza kupatikana wapi?
Nazihitaji walau pisi tatu: ya nyumbani, ya kazini n.k.
Naamini na Watanganyika wengine wanazihitaji!
Tutazipata wapi?
Nahisi huwatakii Watanganyika mema japo Polisi kwa sasa ni "waelewa"Vituo vyote vya polisi zinapatikana
Kweli mkuu?Kwa Upande wa Arusha kuanzia Usa kuelekea Mjini kabisa bendera zipo za kutosha...kwsbb wao walishaanza kujiita Watanganyika kitambo
Tumwambie Maria S. hizi Bendera zinahitajija kwa wingi Tanganyika.Zinaweza kupatikana wapi?
Nazihitaji walau pisi tatu: ya nyumbani, ya kazini n.k.
Naamini na Watanganyika wengine wanazihitaji!
Tutazipata wapi?
Wakijaribu kuzizuia ndiyo zitasambaa kwa kasi. Zitafika mpaka nchini Zanzibar.Inaruhusiwa?
Alikuwa mzalendo halisi!Hayati Mchungaji Dkt. Christopher Mtikila alikuwa nayo nyumbani kwake ktk kipindi chote cha uhai wake.
Zinaweza kupatikana wapi?
Nazihitaji walau pisi tatu: ya nyumbani, ya kazini n.k.
Naamini na Watanganyika wengine wanazihitaji!
Tutazipata wapi?
Bora hiyo pesa ya mtaji aflash ajue moja hasarautasiriamali huo, mtu akichapisha auze hata mtaani tu, atapiga pesa balaa.
Kwa sasa kuna kiongozi yeyote mwenye nayo?Hayati Mchungaji Dkt. Christopher Mtikila alikuwa nayo nyumbani kwake ktk kipindi chote cha uhai wake.