Benefits of Water Therapy & Liyumba Na Chupa Ya Maji

.....Angalia posts na threads zangu zote.

Kuangalia post zako zote hakutahalalisha kumnyanyapaa kwako Liyumba. Kama hujui maana ya kunyanyapaa anzisha thread kuuliza maana ya hilo neno 'It will make more sense' kuliko hii ya Liyumba Na Chupa Ya Maji Ya Kilimajaro'
 


Mkuu, ulipoaanza urguments zako tu za kutokuelewa hata baada ya mimi muanzisha hoja kukujulisha ilibidi nipitie threads zako zote na posts zako nyingi nikufahamu wewe ni wa namna gani na nimefanikiwa kujua hilo. So, no more arguments with you unless kama unastick katika mada.

Na bado naona sasa unaelekea kuwa nabii. I am out with you. Dont expect any further respond.
 
Nothing to do with water therapy. Aint on A/C in the prison cells, Karandingas don't have A/C, aint no A/C in court. +stress +Joto la ajabu la bongo.
 
Nothing to do with water therapy. Aint on A/C in the prison cells, Karandingas don't have A/C, aint no A/C in court. +stress +Joto la ajabu la bongo.

Nakusoma Mkuu. Hilo pia linawezekana.
 
Source: Water Therapy - Benefits of Water Therapy | Water Therapy Information

 
Source: Water Therapy


Bila ya shaka kuwa maji yanayokuwa energized na Bio-Disc yana tiba ya kila aina. So, kwa wale wenye budget BIO DISC zinapatika nadhani kam $ 750 - $ 1000. Ukisha Energize maji yako yatie katika chupa na endelea kuyatumia.
 
Now, Please get to know more about a BIO DISC, nadhani wengi hawajui. Dont underestimate its scientific power. wale wenye ndugu na jamaa wagonjwa, BIO DISC si treatment mbaya kabisa.

Please see the attachment. And Dont Miss It!
 

Attachments

Nashukuru kwa kuwekana sawa.Ila naomba ufafanuzi kwani wote si wakazi wa pwani ambao tunaweza kufumbua mafumbo haraka,kwani 'kale kaugonjwa ketu' kana maanisha ugonjwa gani?Tufumbueni macho!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…