Benitez Sacked

Njaa

JF-Expert Member
Joined
Dec 6, 2009
Posts
1,022
Reaction score
412
Wakuu wale jamaa wamemtimua kocha wao licha ya kuwapa ubingwa wa dunia. Wanataka mtu wa mafanikio kama Jose Morinho, Mbona hawa jamaa hawana subira.

I hate them
 
mkuu benitez deserved it and he looked for it

Timu ni ya saba... kama alivyoiacha liverpool, kombe aliloshinda yes, but halina pesa na kibaya zaidi aliongea hovyo kwenye post game interview na kutishia nyau

sasa kapewa kubwa

yupo liverpool for holidy
 
kwani kapelekwa kwa kazi gani pale,kuna uhaba wa ushindi kinoma subira gani unayotaka
 
Wangesubiri walau msimu mmoja, unajua ligi ya italia si rahisi kivile, kwa hiyo msimu mmoja walao unatosha kuangalia mazingira
 
Wangesubiri walau msimu mmoja, unajua ligi ya italia si rahisi kivile, kwa hiyo msimu mmoja walao unatosha kuangalia mazingira

U got it twisted brother. Unapewa muda kama unaanza toka kwenye ovyo siyo timu umeikuta vema unaingia na gea y ku-rotate wachezaji. wamejifunza huyo alitakiwa hata asichkuliwe tangia mwanzo
 
This is a result business..... you dont perform you are out..... SIMPLE....
 
Wakuu wale jamaa wamemtimua kocha wao licha ya kuwapa ubingwa wa dunia. Wanataka mtu wa mafanikio kama Jose Morinho, Mbona hawa jamaa hawana subira.

I hate them

Benitez was a spent force; hiyo tabia yake ya ku-rotate wachezaji ina-cost timu mechi muhimu, angalia Inter kwenye ligi yao, wamepoteza hadi mechi za kitoto? hata Liva pamoja na hali yao akienda leo watamkataa!
 
Wangesubiri walau msimu mmoja, unajua ligi ya italia si rahisi kivile, kwa hiyo msimu mmoja walao unatosha kuangalia mazingira

Ukizungumzia kusubiria! liverpool walifanya hivyo, masikini waone wanavyotia huruma kama kuku wa kideli😱
 
Benitez was a spent force; hiyo tabia yake ya ku-rotate wachezaji ina-cost timu mechi muhimu, angalia Inter kwenye ligi yao, wamepoteza hadi mechi za kitoto? hata Liva pamoja na hali yao akienda leo watamkataa!
hali yetu ipi mkuu? we ngoja tuanze mambo, tushapumzika sana tu
 
Benitez was a spent force; hiyo tabia yake ya ku-rotate wachezaji ina-cost timu mechi muhimu, angalia Inter kwenye ligi yao, wamepoteza hadi mechi za kitoto? hata Liva pamoja na hali yao akienda leo watamkataa!

I can argue kwamba statistically and achievement-wise Benitez is very successfully.....
Valencia ..... League and UEFA CUP Double 03/04
Liverpool ....... Champion League Winners
Very few managers have got such credentials..

Lakini sadly in this Game Huwezi kuishi by the past Achievements.......

One area where Benitez is found wanting ni kwenye kusajili wachezaji alivyokuwa Spain alizoea kazi ya Manager is just Coaching and not buying players.
 
hali yetu ipi mkuu? we ngoja tuanze mambo, tushapumzika sana tu

Mkuu sio kupumzika mmelala vya kutosha sina uhakika kama mtaamka mapema... labda 2012
 

Maybe Valencia lakini the rest ... amekua ana malizia kazi nzuri za wengine kama Houlier na Mourinho. Kosa walilofanya Liverpool ni kumvumilia wakavuna mabua it will take time
 
Maybe Valencia lakini the rest ... amekua ana malizia kazi nzuri za wengine kama Houlier na Mourinho. Kosa walilofanya Liverpool ni kumvumilia wakavuna mabua it will take time

Houlier alishinda kombe moja tu nadhani la FA Cup against Arsenal ambapo Michael Owen Alifunga ile siku..... kwa bahati...... Arsenal played Liverpool off the Park... Houlier hayupo kwenye the best Managers who achieved with Liverpool .....

Benitez naweza nikamuweka kwenye the likes of Kenny Dalglish... I think Houlier is the most Overrated Manager (Very Few Managers Can Boast Winning The Champions League). Kama nilivyosema kosa kubwa ambalo Benitez analo ni kwamba hajui kusajili.
 
Houlier alibeba na uefa cup pia,inaitwa europa league siku hizi
 
atangulie tu, kokote....alituharibia sana Liverpool. Hana maana hata kidogo. Ninahisi ana elements za ubaguzi wa rangi.
 
atangulie tu, kokote....alituharibia sana Liverpool. Hana maana hata kidogo. Ninahisi ana elements za ubaguzi wa rangi.
Champions league winner????? ni nani alikuwa meneja wa mwisho kuwaletea hili kombe???; Whats needed in liverpool is overhaul ya timu yote. Probably the likes of Gerald being Scources (watoto wa liverpool) they are too big for their shoes; wanataka kum-dictate manager
 

Champion league winner yes, then next season hata nne bora hatukuwemo. Ikabidi UEFA wafikirie kupindisha kanuni ili tutetee. Ndio maana Inter wamemshtukia pamoja na kubeba klabu bingwa ya dunia.
 
Champion league winner yes, then next season hata nne bora hatukuwemo. Ikabidi UEFA wafikirie kupindisha kanuni ili tutetee. Ndio maana Inter wamemshtukia pamoja na kubeba klabu bingwa ya dunia.

Ni kweli lakini results matter kwenye hii kazi bila results hakuna kazi. Ndio maana nasema liverpool inahitaji zaidi ya manager Changes kubwa kufanyika maybe mtu kama Kennye Daglish ambaye washabiki wanaweza waka-associate nae, na anajua liverpool inside out. Lakini Benitez kwenye CV yake alifanya makubwa kwa liverpool kuliko kina Houlier, Graeme Souness; na Roy Evans;
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…