Vyanzo vyangu vya habari vimeshikilia kwa nguvu kubwa kuwa Carlo ancelotti ataiongoza Real Madrid kwenye mechi ya mwisho msimu huu wa ligi kuu ambayo ni ya mwisho pia msimu kwa Real Madrid na baada ya hapo haraka sana Kocha Rafael Benitez atatangazwa kuwa ndie kocha mpya wa timu hiyo kuanzia jumatatu.
hii inamaanisha Big Carlo anarudi nyumbani ambako amewahi kucheza soka na kubeba champions league na pia amewahi kufundisha na kubeba champions league...
welcome back Super Carlo a.k.a mr european nightmare.
rudi katika nyumba yenye makabati meeeeeengi yalojaa makombe ya Kimataifa.
forza Milan
hii inamaanisha Big Carlo anarudi nyumbani ambako amewahi kucheza soka na kubeba champions league na pia amewahi kufundisha na kubeba champions league...
welcome back Super Carlo a.k.a mr european nightmare.
rudi katika nyumba yenye makabati meeeeeengi yalojaa makombe ya Kimataifa.
forza Milan