Benjamin Asukile: Hatuwaogopi Simba waje kwa tahadhari

Benjamin Asukile: Hatuwaogopi Simba waje kwa tahadhari

Teko Modise

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
2,331
Reaction score
7,733
Captain wa Tanzania Prisons, Afande Benjamin Asukile ameweka wazi wao kama Prison hawana uoga wowote dhidi ya Simba katika mchezo utakaopigwa leo saa 10:00 katika dimba la Sokoine jijini Mbeya.

"Simba ni timu nzuri, wametoka kushinda juzi huko Malawi, ila wajue kuwa ile ni ligi ya mabingwa na huku mbeya wamekuja kucheza mechi ya ligi kuu, hivyo tunawaambia waje kwa tahadhari kwani kipigo ni lazima kwao na wajiandae na Pira Gwaride" aliongeza Asukile.

Je, kauli ya Asukile itakuwa na mashiko? Tusubirie muda ufike tuone
 
Ficha ujinga wako basi, unajizima data kwamba hujui michezo michafu inayochezwa kwenye soka la bongo? Una akili haijai hata kisoda kama unajifanya soka la bongo unalijui kumbe hulijui.
Wewe ndo mjinga na mpumbavu maana inabidi ukitoa shutuma kali kama hizi uwe na ushahidi siyo kuropoka kwavile umeshiba makande
 
Wewe ndo mjinga na mpumbavu maana inabidi ukitoa shutuma kali kama hizi uwe na ushahidi siyo kuropoka kwavile umeshiba makande
Wewe unayebisha hawapigi faulo unaushahidi? Na huo ushaihidi niueke hapa kwani ndio sehemu sahihi?
 
Huyu mpuuzi akiamua kukamia mechi, basi anakamia kweli. Ngoja tuone kitakachojili masaa machache kutoka sasa.

Na ifahamike ushindi ni muhimu sana kwa mnyama! Akijichanganya tu, ndiyo nitolee hiyo kwa wananchi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeh shostieeee
 
Back
Top Bottom