Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Kwahiyo Yanga ndio inacheza na Prison?Naona anawatoa hofu jiesiemu kwa muamala waliomrushia ameshaupata ili awagawie wenzanke, Sasa nasema hivi pale juu wametushikia kwa muda tuu wenye nafasi yao wanapandishwa tena na prison.
Ficha ujinga wako basi, unajizima data kwamba hujui michezo michafu inayochezwa kwenye soka la bongo? Una akili haijai hata kisoda kama unajifanya soka la bongo unalijui kumbe hulijui.Kwahiyo Yanga ndio inacheza na Prison?
Hivi shule mlikwenda kufanya nini?
Wewe ndo mjinga na mpumbavu maana inabidi ukitoa shutuma kali kama hizi uwe na ushahidi siyo kuropoka kwavile umeshiba makandeFicha ujinga wako basi, unajizima data kwamba hujui michezo michafu inayochezwa kwenye soka la bongo? Una akili haijai hata kisoda kama unajifanya soka la bongo unalijui kumbe hulijui.
Wewe unayebisha hawapigi faulo unaushahidi? Na huo ushaihidi niueke hapa kwani ndio sehemu sahihi?Wewe ndo mjinga na mpumbavu maana inabidi ukitoa shutuma kali kama hizi uwe na ushahidi siyo kuropoka kwavile umeshiba makande
Wananchi tenaHuyu mpuuzi akiamua kukamia mechi, basi anakamia kweli. Ngoja tuone kitakachojili masaa machache kutoka sasa.
Na ifahamike ushindi ni muhimu sana kwa mnyama! Akijichanganya tu, ndiyo nitolee hiyo kwa wananchi.
Nakazia leo Simba wanachezea kichapokipigo ni lazima kwao na wajiandae na Pira Gwarid
HahahaNa upala wake kama tozo za bank
Unaumia ukiwa wapi Mzee wa UtopwinyoooNakazia leo Simba wanachezea kichapo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeh shostieeeeHuyu mpuuzi akiamua kukamia mechi, basi anakamia kweli. Ngoja tuone kitakachojili masaa machache kutoka sasa.
Na ifahamike ushindi ni muhimu sana kwa mnyama! Akijichanganya tu, ndiyo nitolee hiyo kwa wananchi.
Kwenda wapi?Milioni 20 walizoahidiwa zimeyeyuka
Zimekwenda na defeat ya SimbaKwenda wapi?
Ngap ngap kwan nani kafungwa?Zimekwenda na defeat ya Simba
Shosti tena!!![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] poleeeeeeh shostieeee