Benjamin Mendy afutiwa mashtaka ya udhalilishaji wa ngono kwa wanawake

Benjamin Mendy afutiwa mashtaka ya udhalilishaji wa ngono kwa wanawake

Sieger

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2022
Posts
3,180
Reaction score
7,521
Mahakama imetoa hukumu leo kuhusu kesi ya udhalilishaji wa ngono ambao mchezaji wa zamani wa Manchester City, Benjamin Mendy anahusishwa kufanya na wanawake nchini Uingereza.

Mahakama imemkuta Benjamin Mendy kutokuwa na hatia yoyote na hivyo kumuachia huru mchezaji huyu wa Ufaransa.

Mchezaji huyo ameishukuru Mahakama kwa kufanya kazi kubwa kufatilia ushahidi wa matukio haya badala ya kusikiliza uzushi unaoibuliwa na wanawake hao ambao inasemekana alifanya kitendo hicho mwaka 2020, akishtakiwa kuwabaka wanawake wawili, mmoja akiwa na miaka 24 na mwingine akiwa na miaka 29.
 
All cases dismissed.

So what are we doing now?

Who is going to help this brother heal?

Who’s going to be Responsable for the damage on his name?

How he’s going to have he’s career back?

Many years of investment to become a professional football player…. Now what!?

I’ve never touched on this subject because I didn’t know all the details, but I’ve spoken to him once true FaceTime while behind bars and faced him on the pitch a couple times.. I didn’t see any evil in the man.

We can’t accept this to happen to us as athletes.

Who’s going to stand up for us in the time of need not when the damage is already done?

Don’t turn your head people.

20230714_211821.jpg
 
All cases dismissed.

So what are we doing now?

Who is going to help this brother heal?

Who’s going to be Responsable for the damage on his name?

How he’s going to have he’s career back?

Many years of investment to become a professional football player…. Now what!?

I’ve never touched on this subject because I didn’t know all the details, but I’ve spoken to him once true FaceTime while behind bars and faced him on the pitch a couple times.. I didn’t see any evil in the man.

We can’t accept this to happen to us as athletes.

Who’s going to stand up for us in the time of need not when the damage is already done?

Don’t turn your head people.

View attachment 2688157
Jamaa wamemtesa sana kisaikolojia.
Naamini ataovercome.
 
Wanawake ngozi nyeupe ni wa kuwaogopa sana mimi bora nibaki na kina mwajuma wa buza
Ila wenzetu hao wacheza mpira na watu maarufu wenye ngozi nyeusi hawajifunzi tu. Mwanamke wa kizungu ni wa kumpitia tu ukiwa na kichupa ila sio kumuweka ndani kabisa kuwa mke au girlfriend kwani unadharirishwa muda wowote.
 
Jamaa hajacheza mpira miaka zaidi ya miwili na nusu mpaka mkataba wake umeisha Man City, halafu leo wanamkuta hana hatia?!

Life is not fair.
 
All cases dismissed.

So what are we doing now?

Who is going to help this brother heal?

Who’s going to be Responsable for the damage on his name?

How he’s going to have he’s career back?

Many years of investment to become a professional football player…. Now what!?

I’ve never touched on this subject because I didn’t know all the details, but I’ve spoken to him once true FaceTime while behind bars and faced him on the pitch a couple times.. I didn’t see any evil in the man.

We can’t accept this to happen to us as athletes.

Who’s going to stand up for us in the time of need not when the damage is already done?

Don’t turn your head people.

View attachment 2688157
Ungemalizia kuwa haya kaandika Memphis Depay kwenye ukurasa wake wa tweeter!
 
Akitaka aende kwa achraf hakim ampe somo la wanawake
 
Back
Top Bottom