Benjamin Mendy akiri kufanya ngono na wanawake zaidi ya 10,000

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Joined
Jan 29, 2021
Posts
577
Reaction score
2,595


Mwanasoka wa Manchester City, Benjamin Mendy (28) anatuhumiwa kwa kosa la kumbaka msichana mmoja mwenye umri wa miaka 28 na kumwambia msichana huyo “ni sawa, kwani ameshafanya ngono na wanawake 10,000”.

Mendy anatuhumiwa kumshambulia mwanamke huyo, wakiwa kwenye jumba lake la kifahari huko Mottram St Andrew, Cheshire, Oktoba 2020.

Aidha anatuhumiwa kwa jaribio la kumbaka msichana mwingine, mwenye umri wa miaka 29 ambaye pia alimshambulia nyumbani kwake miaka miwili iliyopita.

Baada ya kusomewa mashtaka yote mawili katika Mahakama ya Chester na Jaji Stephen Everett, mwanasoka huyo alikanusha kuwa hakufanya makosa hayo.

Chanzo: Wasafi TV
 
Hili jambo litamuharibia sana jamaa career yake. Cancel culture ya wazungu ni mbaya sana, hasa ukizingatia ni black.
 
Hili jambo litamuharibia sana jamaa career yake. Cancel culture ya wazungu ni mbaya sana, hasa ukizingatia ni black.
Hiyo black mentality ndio mnapoharibu, kwa hiyo asishitakiwa kwa vile ni black yuko nchi ya wazungu??

Ni wapi ulishawahi kuona mchina, mhispaniola, mhindi kabaguliwa wakaanzisha maandamano au wakawekewa slogan kama ya black lives matter?

Waafrika kuna kitu hakiko sawa kati yetu
 
Wanamichezo na watu maarufu mara nyingi ni wahanga na hujikuta katika mitego ili wavunwe pesa. Unapokua celebrity ughaibuni inabidi kuwa makini sana..maana wanawindwa sana kupigwa pesa kwa kesi za michongo na mabinti.

Ni heri kula malaya waliosajiliwa kwenye brothels ukiwa staa. Maana kule unapewa na risiti ya huduma. Unazitunza in case of anything.
 
"Mendy anatuhumiwa kumshambulia mwanamke huyo, wakiwa kwenye jumba lake la kifahari huko Mottram St Andrew, Cheshire, Oktoba 2020".
Hapo hawajalipwa sio kubakwa, ilitakiwa wafungue kesi ya madai.
 
Hizi taarifa ni za kuzipuuza, nimejaribu kigawanya umri wa Mendy na hao wanawake elfu10 nimeiona kwamba alitembea Kila siku na mwanamke mmoja yeye akiwa alianza kutembea nao akiwa ni mtoto wa mwaka 1,na ukipiga hesabu kama alianza kutembea nao akiwa na umri wa kubalehe let say umri wa miaka 14 basi alitembea na wastani wa wanawake wawili Kila siku.
Mendy aliamua kuropoka.
 
Hizi ni story za kwenye kahawa huwezi tembea na wanawake wengi kiasi hicho then ucheze mpira kwenye ligi ngumu kama EPL
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…