Kwaheri Ben!
Katika mambo ambayo uliyafanya na hatutasahau ni pamoja na kuona umuhimu wa kuziimarisha Mamlaka za Serikali za Mitaa.
Mwaka 1998 Rais Mkapa alianzisha mpango ulioitwa Local Government Reform Program Tanzania.
Mpango huu ulikuja wakati muafaka maana kipindi hicho Halmashauri zilikuwa zimefikia kiwango cha udhaifu ajabu, hata hakuna aliyejua zitaishia wapi.
Mambo yalikuwa ovyo ovyo kwelikweli na hata Madiwani hawakujua wao ni nini, sio wao ni nani, hapana hawakujua wao ni nini!
Mkapa alizinyoosha Halmashauri na hadi sasa hali ilivyo ni kutokana na kazi aliyoifanya Brither Ben Mkapa.
Baada ya hapo hadi vyuoni somo la Local Government limeshika kasi na hakuna Mtanzania asiyeujua, umuhimu wa local government ukiacha wachache wenye husda!
Kwaheri Ben.
Katika mambo ambayo uliyafanya na hatutasahau ni pamoja na kuona umuhimu wa kuziimarisha Mamlaka za Serikali za Mitaa.
Mwaka 1998 Rais Mkapa alianzisha mpango ulioitwa Local Government Reform Program Tanzania.
Mpango huu ulikuja wakati muafaka maana kipindi hicho Halmashauri zilikuwa zimefikia kiwango cha udhaifu ajabu, hata hakuna aliyejua zitaishia wapi.
Mambo yalikuwa ovyo ovyo kwelikweli na hata Madiwani hawakujua wao ni nini, sio wao ni nani, hapana hawakujua wao ni nini!
Mkapa alizinyoosha Halmashauri na hadi sasa hali ilivyo ni kutokana na kazi aliyoifanya Brither Ben Mkapa.
Baada ya hapo hadi vyuoni somo la Local Government limeshika kasi na hakuna Mtanzania asiyeujua, umuhimu wa local government ukiacha wachache wenye husda!
Kwaheri Ben.