Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
Leo jumatatu saa tatu usiku nimetulia naangalia kipindi kiitwacho Dk 45 kinachorushwa na ITV.
Yani maswali anayouliza kama mtoto wa chekechea, Imagine yeye ndiye anayeuliza swali but anajing'atang'ata as if yeye ndio anabanwa na maswali magumu kwenye hard talk.
Yani maswali anayouliza kama mtoto wa chekechea, Imagine yeye ndiye anayeuliza swali but anajing'atang'ata as if yeye ndio anabanwa na maswali magumu kwenye hard talk.