Mtetezi.com
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 3,134
- 3,584
Leo jumatatu saa tatu usiku nimetulia naangalia kipindi kiitwacho Dk 45 kinachorushwa na ITV.
Yani maswali anayouliza kama mtoto wa chekechea, Imagine yeye ndiye anayeuliza swali but anajing'atang'ata as if yeye ndio anabanwa na maswali magumu kwenye hard talk.
Hivi itv na azam bora ipiBado kuna watu mnaangalia ITV?
Ni kweli kabisa atapoteaNi Mtangazaji mzuri na hasa akiwa bado ni Kijana na anakuja vizuri ila nadhani kwa Uzito wa hicho Kipindi hapashwi kupewa hilo Jukumu kwa sasa na badala yake angetafutwa Mtangazaji mwingine na huyu Benjamin Mzinga awe anazidi Kujifunza. Ni Kijana ambaye anakuja vyema sana japo ana Mapungufu machache mojawapo likiwa ni la Kulazimisha awe anatangaza kama Salim Kikeke wa BBC Swahili / Dira ya Dunia kwa Kumuiga Kupitiliza wakati na Yeye pia alipaswa sasa Kutengeneza Identity yake Kiutangazaji.
Ni kweli kabisa atapotea lakini mbona hata salim anautangazaji kama wa charles hilal
Ndio..we ulitaka tuangalie TBCBado kuna watu mnaangalia ITV?
Muangalie AFCONNdio..we ulitaka tuangalie TBC
Smart guy
Azam ni Bora mara [emoji817]Hivi itv na azam bora ipi
Kwa mtazamo wako nani anaweza mudu hiyo nafasi? Ingawa itakua maoni yako tu si ya woteLeo jumatatu saa tatu usiku nimetulia naangalia kipindi kiitwacho Dk 45 kinachorushwa na ITV.
Yani maswali anayouliza kama mtoto wa chekechea, Imagine yeye ndiye anayeuliza swali but anajing'atang'ata as if yeye ndio anabanwa na maswali magumu kwenye hard talk.
Mie naangalia bado ITV, nawe unaangalia Chanel gani?Bado kuna watu mnaangalia ITV?
Apewe nani pale sasa?Kile kipindi kina wenyewe..wangemuacha aendelee ripoti za mtaani
Azam ubora upi haswaa? Ainisha hapaaAzam ni Bora mara [emoji817]
Apewe nani pale sasa?
Mbona itv kila mwaka inakuwa superbrandAzam ni Bora mara [emoji817]
Still pictures na mnatoAzam ubora upi haswaa? Ainisha hapaa
Kuna vipindi gani vya elimu huko niweze vutiwa nami?Still pictures na mnato