Benjamin Netanyahu akataa maridhiano ya kusitisha vita Lebanon

Hadi ra
Hadi raha kabsa! Sasa sisi
Bora kabsa! Uwepo wa Israel una faida kuliko Hezbollah. Huenda kizazi changu kuna siku kikaenda masomoni huko Israel. Lakn utashangaa mfano kuna mijitu inaona umuhimu wa Iran kuliko Marekani huku wao au ndugu zao wanatumia ARV za bure kabsa za hisani. Hivi Iran ina faida gani kwa ndugu zangu walioko misungwi? Lakini kuna Miradi kibao inafadhiliwa na USAID land cruiser kibao ziko nchi nzima ubavuni zina nembo ya USAID zenye plate number za DFP ziko kwenye miradi ya maji,ukimwi,uzazi salama,maralia etc etc.
 
Huku kwetu hao kobaz wamekuja na mradi wao wa kugawa nyama ya kondoo na mbuzi bure.
 
Aisee hiki ulichoandika naona kama naongea na katoto cha darasa la nne.
Unadhani hiyo misaada unapewa bure wewe!??
Unajua unyonyaji wanaofanya hao unaowasifia kijana!?
Unajua kama kupitia SAP miaka ya 1970s hao mabwana ndio wameliingiza bara la Afrika katika ukoloni mambo leo!??
Kheri ungenitajia China ningesema kweli umeongea kuliko kunitajia USA na hao wenzake.
Acha akili za kufadhiliwa chandarua badala ya kupewa usaidizi wa kiwanda cha kufuma chandarua.

Iran ni taifa lililoandamwa.
Ila kama lisingeandamwa lingekua lina faida kuliko hao wazungu.
Kwanza wangetoa mikopo bila riba na masharti magumu na pia wangejenga miradi yetu kwa bei nafuu kabisa.
Kuliko huko mnakoenda kukopa kwa riba tele na masharti kibao ikiwemo kukubali watoto wenu waingiliane kinyume na maumbile.
 
Huku kwetu hao kobaz wamekuja na mradi wao wa kugawa nyama ya kondoo na mbuzi bure.
Unazungumzia nchi au asili!?
Kama ni asili hii Tanzania yako inalishwa na mwarabu na uchumi wake unaongozwa na mwarabu.
Kama unakataa sema tuchambue.
 
We jamaa bhana kwa kuwa tulikuwa colonized na wakachukua resources zetu basi tujitenge na misaada tunayopokea yenye tija? Iran atanisaidia nini mimi zaidi ya kujenga msikiti nisiouhitaji? Familia ngp Africa zinanufaika na watoto wao kuwa abroad particularly Marekani? Na Je familia ngapi Africa zinanufaika na watoto wao kuwa Iran? Jitoe kwenye minyororo ya dini ufikilie nje ya box...! Let me be clear and honest natamani Hezbollah wafe wote wafyekwe Lebanon iwe sehemu salama maisha yawe kama Dubai
 
Mazayuni ni waongo wa ajabu.

Mabwana zao USA, Uingereza na Ufaransa ndiyo waliotaka ceasefire.

Nasrallah kawagomea, kawaambia sababu yetu inajulikana, nayo ni mazayuni waache kuua wanawake na watoto Ghaza.
Basi sawa Naslallah aendelelee kukataaa
Kitamkuta kilichowakata Gaza
Naonea Huruma walebanoni kuwaunga mkono magaidi

Wachukue picha kabisa za miji yao maana zinaenda kuwa magofu wakiendeleza kiburi kwa Israel
 
Usiite watu wanaopigania ardhi zao magaidi.
Gaidi ni USA na Israel wanaoendekeza agenda zao za machafuko hapo Middle east.
Dunia inaitambua Hizbollah kama political organisation sio terror group.
Wewe ni nani mbaka uwaite magaidi!??
Ni magaidi. Full stop na watashughulikiwa Kama magaidi
 
Hata neo-colonialism hujui!?
Unajua kitu kinaitwa Structured Adjustment Program??
Nenda kakifuatilie,kilianzishwa 1970s na hao mabwana zako wa kizungu.
Nenda kasome namna ambavyo ilituingiza Afrika kwenye ukoloni mambo leo.
*Iran unayoisemea imedumazwa kiuchumi narudia tena imedumazwa kiuchumi,laa sivyo ingekua ina msaada mzuri tu kidiplomasia,hata hiyo reli ya SGR unayotamba nayo ilikua bado kidogo wajenge Iran kwa bei nafuu ila kwa kukataa kutoa 10% kwa watangaza zabuni ndio wakapewa Yepi Merkezi.
Kama Iran ingekua haijaharibiwa na siasa chafu za magharibi ingekua ina msaada mkubwa kama ilivyo TURKIYE.
Shida unafikiria kama katoto cha darasa la 4.
Kabla hujaomba Hizbollah wafe mie ningeomba ISRAEL,USA,UK ZIPATWE NA LAANA YA MAISHA YA KUFANYA DUNIA ISIWE SEHEMU SALAMA KUISHI.
*WAMEUA SANA WATU.
*WAMEVAMIA SANA NCHI ZA WATU.
*WANAFADHILI MATAIFA YA WATU KUPINDUANA
.
*WANALAZIMISHA WATU KUUKUBALI USHOGA NA UASHERATI KWA MWAMVULI WA MISAADA.
*WANAFADHILI BLOOD DIAMOND DR CONGO.
*WAMEWAFANYA WATU WA MARSHALL ISLAND KUWA LAB RATS NA KUWAFANYIA MAJARIBIO YA BIOLOGICAL WEAPONS.

AISEEE ARE THEY EVEN HUMANS!??
 
Hivi una akili kweli
Wanaoporate magofu na wananchi walioko kwenye mahema ?
Bro kwani lazima ujibu kama hauna mantiki!??
Iwe ni magofu iwe ni mahema bado Hamas hawajatoka uongozini pale Gaza.
Bado hata mapato ya Gaza yanaonesha kukusanywa na Hamas.
Na bado wakipata nafasi wanarusha maroketi Israel vile vile.
 
Hamas
Hamas, alqaed, bokoharam, Isis, taleban, Islamic jihad, Hezbollah, Houth ni makundi ya magaidi yenye mlengo wa kidini.
Hayana tofauti na lengo lao ni kupigania dini ya mnyaazi mungu
 
Neo-colonialism nimesoma kama topic kabsa darasani. The situation where the country is politically independent but economically still tied up and combinated by the imperialist. Lakini hatufanyi tuwe wafuasi wa Hezbollah. Yaani kifupi Hezbollah haina faida yoyote popote chini ya jua
 
Bro kwani lazima ujibu kama hauna mantiki!??
Iwe ni magofu iwe ni mahema bado Hamas hawajatoka uongozini pale Gaza.
Bado hata mapato ya Gaza yanaonesha kukusanywa na Hamas.
Na bado wakipata nafasi wanarusha maroketi Israel vile vile.
So what? Inakusaidia nn wew kama kobaz hamas waki operate Gaza?
 
Unaanza kuhama hama au siyo!?
Hizbollah ina faida kwa waarabu na Lebanon,sio lazima iwe na faida kwako.
Hizbollah ndio iliyookoa mpaka wa maji wenye gesi asilia na mafuta kutoka kwa Israel.
Hizbollah ndio iliyookoa Bint Jubeir isichukuliwe na Israel.
Leo hii Lebanon haijamegwa hata kipande kwasababu Hizbollah alisimama kutetea.
Sio lazima awe na faida kwako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…