Hahaaaa yani angekuwepo huko toka kwenye utangulizi. Akitoka hapo hata Rwanda angemsindikiza pamoja na ugomvi na PK hahaaaHapa ndipo ninapo mumiss mkwere
Kwa hiyo alitoka naye Israel?Huyo mbwa sio wa bure!
Hapa ndipo ninapo mumiss mkwere
Picha hiyo siyo ya Jijini Nairobi kama wanavyotaka ujiko bali ni mtaa mmoja wa mji wa Jerusalem, nchini Israel na source ni Photo: Netanyahu walks the streets of Jerusalem with his dog - News Briefs -wapi sasa?
Meaning?Kumbukeni history. Rais George Bush wa Marekani (maana niliposema Marekani hataelewa). Alipokuja Tanzania alitembelea Amana Hospital na vinguguti dispensary.
Me too cjaelewa mdau kamaanisha nn,kmbe tpo wengi???Meaning?
Kwamba kuna wengine wanakufa bila Mungu kutaka!?Mungu akitaka afe anakufa tu
Ulinzi wake sio wa kitotohao ndio wababe wa dunia wanajiamini popote.